Worst still, there was no need for you to read her no comment post.
Sijawahi kumwona Lowasa ametilia walao ile kofia ya blakashia, maana nikisema kanzu na koti juu yake nitakuwa nimeenda mbali mno. Jana hapa alichojitahidi ni kuvua tu viatu kwa kuingia mahali patakatifu.
Rais................
Kwani nani kakomenti?Heri mimi sija comment
We First Lady.if you had no comment,then,there was no need to comment.
Wapenda ubwabwa hawa bei Yao ndogo
Mchungaji bana ... Hivi hujui watu tumeshakustukia hii ni plate number yako nyingine .. huwa unaitumia kujigongea like na ku support ur silly & pointless allegations against my Muslim brothers . Usiwe na uoga wa paka kutembea gizani njoo kweupe na I'd yako tuliyo izoea ..
Lowassa ni Raisi wetu. Full stop. Wanampiga vijembe akiwa nje wakiwa na shida wananyenyekea! Sio
wakristo, Sio waislam, sio viongozi wenzake wa CCM. If they cant beat him why not joining him?
Waache unafiki
Ha kaamishia kampeni msikitini sasa na nyie waislamu mnampokea kama wakristo? Nilidhani nyie ndo mtakuwa na msimamo kumbe ni walewale msiokuwa na msimamo kama wakristo
mimi namuona mzee huyu anatafuta huruma ya watanzania ili aweze kuepuka kuwajibishwa iwapo madaraka yakimuendea rais mkorofi mwenye nia na uwezo wa kupambana na mafisadi.
ENL bana, watu wanapiga madongo yeye kimya, matamasha ya michango makanisani, misikitini na kwenye huduma za jamii kama kawa. Kama hana akili nzuri vile, lakini jamaa anajua anachokifanya. Mwisho wa siku watu watasema ni kweli. Lisemwalo lipo!