Pichani, Daraja Kigamboni hiloo... Kigamboni yakufikirika yawa kweli

Hata na hili ni JK, hapa hela zetu tulizochangia NSSF zomba bila sie wasingepata hizi hela, kama zinatoka kwenye makusanyo ya kodi ambazo na zenyewe ni za kwetu hapo sawa.

Kwani miaka yote kabla ya Jakaya Mrisho Kikwete mlikuwa hamchangii?
 
Kumbe ndio haka kadaraja kenyewe?

Hiyo ni platform ya construction, daraja litakuwa hivi:

attachment.php
 
Kwani miaka yote kabla ya Jakaya Mrisho Kikwete mlikuwa hamchangii?

Tumechangia sana baada ya kuonekana miaka hii zikawa nyingi ndio ikaonekana kuna haja ya asilimia 60% ya michango yetu ichangie na serikali imalizie hiyo 40% (kwa hili kudos kwa serikali na si JK pekee si unajua mlolongo huu ni wa siku nyingi) ila na sie wenye hela pia utupongeze zomba kwani kuna shida gani.

Swali la kizushi; Kwani idea ya kujenga hilo daraja imetoka lini? na upembuzi yakinifu umefanyika lini?
 
Last edited by a moderator:
Picha+no+9.jpg


Picha+no+8.jpg



Mimi ni mmojawapo ambaye sikupenda kupata kiwanja cha kujenga Kigamboni sababu ya tatizo la kusubiria ferry. Leo ninapoona hili daraja naanza kubadili mtazamo wa kuona Kigamboni si kisiwani tena. Mwenye kiwanja cha Ekari moja mpaka mbili nipm, niko tayari kwa gharama yo yote kwani sasa naona Kigamboni yawa kama :A S 465:Long Island beach ya NY.:A S 465:

Hata nikipata pale Vijibweni sawa tu, maana huko karibu na beach kabisa nako mawimbi ya bahari yakitikisika kwa kishindo cha tetemeko balaa kufunikwa na maji ya chumvi.
Viwanja kigamboni 12,000 per meter square, u want it serious get in touch
 
daraja fupi hivyo meli zitapita wapi? hakuna hadhi ya daraja la 21 century hapo, litaongeza kero tu.

Daraja hilo kama Lukansola waijua vizuri Kigamboni haijajengwa kuzuia Bandari na njia ya meli kuingia bandarini. Daraja hilo limejengwa Kurasini kama waifahamu Tanzania Episcopal Conference (Sekretariet ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania). Barabara itaunganishwa na Mandela Road kutoka Kilwa Road kabla ya kufika Shimo la Udongo.

Kwa ufafanuzi zaidi kama unataka daraja hilo litokeze na unakokusudia kujenga, basi kajenge kule Vijibweni kulikojengwa University mpya utakuwa umenipata.
 
Picha+no+9.jpg


Picha+no+8.jpg



Mimi ni mmojawapo ambaye sikupenda kupata kiwanja cha kujenga Kigamboni sababu ya tatizo la kusubiria ferry. Leo ninapoona hili daraja naanza kubadili mtazamo wa kuona Kigamboni si kisiwani tena. Mwenye kiwanja cha Ekari moja mpaka mbili nipm, niko tayari kwa gharama yo yote kwani sasa naona Kigamboni yawa kama :A S 465:Long Island beach ya NY.:A S 465:

Hata nikipata pale Vijibweni sawa tu, maana huko karibu na beach kabisa nako mawimbi ya bahari yakitikisika kwa kishindo cha tetemeko balaa kufunikwa na maji ya chumvi.

Hakuna bei ya maelewano? Vinginevyo bora nikajifiche Kisarawe na Kule Kibaha, kuna viwanja vya bei ya kupiga na manati.
 
Tumechangia sana baada ya kuonekana miaka hii zikawa nyingi ndio ikaonekana kuna haja ya asilimia 60% ya michango yetu ichangie na serikali imalizie hiyo 40% (kwa hili kudos kwa serikali na si JK pekee si unajua mlolongo huu ni wa siku nyingi) ila na sie wenye hela pia utupongeze zomba kwani kuna shida gani.

Swali la kizushi; Kwani idea ya kujenga hilo daraja imetoka lini? na upembuzi yakinifu umefanyika lini?

Ni rikodi nyingine ya kutukuka kwa Jakaya Mrisho Kikwete.
 
aisee litapendeza

Asante kwa pic, lakini bado sina hakika na plan hiyo, kwa vile picha hiyo inaonyesha daraja lakujengwa magogoni, lakini wanakojenga sasa si Magogoni, bali ni kule Kurasini baada ya bandari. Laba hii ilikuwa ni plan za awali kwa ajili ya kuruhusu meli zipite, lakin nakumbuka hilo lilikataliwa.
 
Ni rikodi nyingine ya kutukuka kwa Jakaya Mrisho Kikwete.

zomba na Kikwete wako huyo mwaka huu hatunywi maji, lolote hata kinachomilikiwa na wageni ni kichwa cha Kikwete, wanifurahisha sana, na tunahitaji watu kama wewe kwani wote kuegemea upande mmoja tu tutasababisha kuongeza uzito upande mmoja na kisha meli kuangukia ubavuni na kuzama.
 
Ni rikodi nyingine ya kutukuka kwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Haya bwana hakikisha linaisha by 2015 kama Magufuli alivyotuhakikishia isije ikawa kama kile kipande cha 60 km cha Ndundu ambacho tuliambiwa kabla ya 2010 kuisha mtu atasafiri toka Mwanza to Mtwara kwa taxi wakti mpaka sasa bado hakijaisha na ndio kwanza zimebaki 38 kilometre
 
Asante kwa pic, lakini bado sina hakika na plan hiyo, kwa vile picha hiyo inaonyesha daraja lakujengwa magogoni, lakini wanakojenga sasa si Magogoni, bali ni kule Kurasini baada ya bandari. Laba hii ilikuwa ni plan za awali kwa ajili ya kuruhusu meli zipite, lakin nakumbuka hilo lilikataliwa.

Hiyo nadhani itakuwa ni plan sasa walipokuja kwenye implementation ikabidi waje na plan B maana mchoro wa kwanza unaonyesha limeanza mbali wakati kwenye actual (site) picha inaonyesha limejengwa mita chache toka kingo za bahari
 
Wangekuja wale waliojenga palm island wangefanya kwa usiku mja tu na kukabidhi kazi embu mwenye muda apitie jamani mtashangaa maajabu ya Mungu i always do
 
Haya bwana hakikisha linaisha by 2015 kama Magufuli alivyotuhakikishia isije ikawa kama kile kipande cha 60 km cha Ndundu ambacho tuliambiwa kabla ya 2010 kuisha mtu atasafiri toka Mwanza to Mtwara kwa taxi wakti mpaka sasa bado hakijaisha na ndio kwanza zimebaki 38 kilometre

Kwanini usiende kuzimalizia wewe? au ungeungana na magwanda wenzako mkaenda kuonesha mfano.

Kikwete anafanya kweli.
 
Hiyo nadhani itakuwa ni plan sasa walipokuja kwenye implementation ikabidi waje na plan B maana mchoro wa kwanza unaonyesha limeanza mbali wakati kwenye actual (site) picha inaonyesha limejengwa mita chache toka kingo za bahari

mchorokigambonilaunched.jpg


Picha+no+7.jpg


Unaweza kuona linakoanzia daraja kuta za Tanzania Episcopal Conference, hapo ni moja kwa moja hadi Vijibweni.
 
zomba na Kikwete wako huyo mwaka huu hatunywi maji, lolote hata kinachomilikiwa na wageni ni kichwa cha Kikwete, wanifurahisha sana, na tunahitaji watu kama wewe kwani wote kuegemea upande mmoja tu tutasababisha kuongeza uzito upande mmoja na kisha meli kuangukia ubavuni na kuzama.

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, anafanya kweli.

Mkipenda msipende inabidi mkubali mafanikio yake.
 
Kwanini usiende kuzimalizia wewe? au ungeungana na magwanda wenzako mkaenda kuonesha mfano.

Kikwete anafanya kweli.

Inaelekea magwanda mnayaogopa?mie mbona sipo huko kwenye magwanda, inaelekea mtu yeyote alietofauti na gamba ni gwanda
 
Back
Top Bottom