Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lol....hii itakuwa kaliNa watoto mlozaa unawaua?
Mfano una hifadhi picha video ya mzazi wako wkt wanamzika hivi kweli utakuwa na ujasiri wa kuangalia? wapi na ni lini?
This is pretty reasonable. .Lizzy, Just keep the memories alive.. those pictures were taken during the good days. even if you have partned, the memories of the good days (which have been almost swallowed by the bad days) remains there. Keep it, you never know, sometimes there is baby come back...
Wengine tukiumizwa tunaumizwa kweli kwa hiyo yaliyo pita sipendi kwa kweli kuyakumbuka na sipendi mwili wangu uwe jumba la makumbusho shosti
This is pretty reasonable. .
Tatizo akitokea mwingine akataka usiwe nazo kwa wasiwasi kua zitakukumbusha wa zamani.
This is pretty reasonable. .
Tatizo akitokea mwingine akataka usiwe nazo kwa wasiwasi kua zitakukumbusha wa zamani.
Mimi nilichukua albamu ya picha za harusi, picha zote tulizopiga pamoja nikamwagia mafuta ya taa nikachoma moto zote, mkanda wa video wa harusi nimeuacha tu kwa ajili ya watoto kuja kuangalia wakishakua wakubwa kama watataka kuona sura ya baba yao
Kwenye mahusiano/ndoa watu hua wanapiga picha pamoja . . . kwaajili ya ukumbusho.
Kwa wale mlioko facebook mnajua siku hizi hizo picha haziishi kwenye album makabatini tu na ukutani ila mpaka mitandaoni unakuta mmoja ana picha kibao za mwenzake bila kusahau description za ohh huyu ndie. . baby wangu and so so.Nimeona mmoja kajaza kweli za girlfriend wake nikajikuta najiuliza kama siku wakiachana atazifutilia tu mbali au itakuaje.
Swali. . .je ikiwa mahusiano yatavunjika zile picha mlizopeana na kupiga pamoja zinatakiwa zifanyweje?Ni sahihi kuziweka tu?Zinatakiwa zitupwe/chanwe. . . kama jibu ni ndio je za harusi?Ni sahihi kweli kuharibu/tupa picha unayopenda kisa tu uliyeachana nae yumo?Na kama ukiweka kuna madhara?
Hapo ongezea Kongosho na watoto je waliofanana na baba au mama nao inakuwaje ili kupoteza kumbukumbu?na nyumba unachoma? Na gari unachoma? Na wadogo zako alosomesha unawadisqulify? Na nyumba alojenga kwenu unabomoa?
Una moyo
Mshiki kama wewe ndo umemuacha? inakuwaje hapa? maana najua mwenye kuachwa ndo anakua na maumivukhaaa Lizzy, nizipendee nini tena? zitarudisha maumivu bure.
lol....unahana upande mmoja kumtoa muhusika kisha ubakishe kipande?
nyumbani kwangu nina sanduku maalum linakaa darini,humo nimejaza bad memories zote,siku nikipigwa chepe watakaobaki duniani watajua wenyewe nini walifanyie.Ila hata mimi huwa najiuliza hao mahawara ambao tuki differ huwa tunatelekeza huko nguo (mpaka za ndani) baadae huwa wanazifanyia nini?[/QUOTE]
hapo kwenye bold nimecheka sana...............u hae made my day...umesahau na zile nguo unazosahau unapokuwa umekuupushwa baada ya fumanizi....wanazipelekaga wapi?
Sasa siku watoto wakikuomba picha utawajibu nini?