Picha. . . .

'Sex is the only stain that will never disappear from someone's mind and life regardless of the different detergents one uses to remove it'.
 
Mimi nilichukua albamu ya picha za harusi, picha zote tulizopiga pamoja nikamwagia mafuta ya taa nikachoma moto zote, mkanda wa video wa harusi nimeuacha tu kwa ajili ya watoto kuja kuangalia wakishakua wakubwa kama watataka kuona sura ya baba yao
 
Mfano una hifadhi picha video ya mzazi wako wkt wanamzika hivi kweli utakuwa na ujasiri wa kuangalia? wapi na ni lini?

Wallahi bado sijalifikiria hilo na mwenyezi Mungu anistiri kwanza, ila wakati ukifika Inshaallah nitapata ujasiri huo iwapo
nitajiridhisha na matakwa ya kuyafanya hayo. Kila jambo linafanywa kwa utashi wa mtu.
 
Lizzy, Just keep the memories alive.. those pictures were taken during the good days. even if you have partned, the memories of the good days (which have been almost swallowed by the bad days) remains there. Keep it, you never know, sometimes there is baby come back...
This is pretty reasonable. .
Tatizo akitokea mwingine akataka usiwe nazo kwa wasiwasi kua zitakukumbusha wa zamani.
 
Wengine tukiumizwa tunaumizwa kweli kwa hiyo yaliyo pita sipendi kwa kweli kuyakumbuka na sipendi mwili wangu uwe jumba la makumbusho shosti

Nimekusoma Julie. .

Hehehehe BHT wengine kinachowasumbua sana ni kumwona yule mtu. Hujawahi kuona mtu anabadili njia ghafla?

Hahaha Fynest hiyo ya mshkaji ndio nilikua nafikiria.Leo kuna mapicha na macomment kibao kesho unakuta kama hazikuwahi kuwepo vile.
 
This is pretty reasonable. .
Tatizo akitokea mwingine akataka usiwe nazo kwa wasiwasi kua zitakukumbusha wa zamani.

sidhani kama unaweza kutunza kumbukumbu kwa yule mliyeachana nae kwani naamini hamwezi mkaachana kwa wema lazima kuna kitu cha kusababisha
 
Mmesahau na picha za mpnz wako ulozihifadhi kichwan!nazo utazifanyake?!!

Zile hazina ujanja. . . zitajifuta zenyewe muda utakaporuhusu.

Kongosho. . .hehee bado sijakua mami najifunza ili nijue pakuanzia siku nikikamatika.
 
'Sex is the only stain that will never disappear from someone's mind and life regardless of the different detergents one uses to remove it'.

I disagree.. .
Labda kama unajiongelea wewe mwenyewe kwa uhakika zaidi.
 
Mimi nilichukua albamu ya picha za harusi, picha zote tulizopiga pamoja nikamwagia mafuta ya taa nikachoma moto zote, mkanda wa video wa harusi nimeuacha tu kwa ajili ya watoto kuja kuangalia wakishakua wakubwa kama watataka kuona sura ya baba yao

Sasa siku watoto wakikuomba picha utawajibu nini?
 
tatizo si kuchoma picha ...tatio ni kuondoa ile kumbu kumbu kichwani.....hili ndilo tatizo kubwa......
 
Kwenye mahusiano/ndoa watu hua wanapiga picha pamoja . . . kwaajili ya ukumbusho.

Kwa wale mlioko facebook mnajua siku hizi hizo picha haziishi kwenye album makabatini tu na ukutani ila mpaka mitandaoni unakuta mmoja ana picha kibao za mwenzake bila kusahau description za ohh huyu ndie. . baby wangu and so so.Nimeona mmoja kajaza kweli za girlfriend wake nikajikuta najiuliza kama siku wakiachana atazifutilia tu mbali au itakuaje.

Swali. . .je ikiwa mahusiano yatavunjika zile picha mlizopeana na kupiga pamoja zinatakiwa zifanyweje?Ni sahihi kuziweka tu?Zinatakiwa zitupwe/chanwe. . . kama jibu ni ndio je za harusi?Ni sahihi kweli kuharibu/tupa picha unayopenda kisa tu uliyeachana nae yumo?Na kama ukiweka kuna madhara?

Hii kitu picha imesababisha hofu kubwa sana kwa mke wa jamaa yangu. Mke wa jamaa yangu aliikuta picha ya mpenzi wa mumewe aliyepiga naye kabla hajamuowa, lakini kibaya zaidi huyo mpenzi wake mke wake anamfahamu na alifariki kwa ukimwi na mke wa jamaa yangu anajua hivyo, lakini sio kwamba alikuwa na ukimwi wakati wakiwa wapenzi na jamaa yangu. Sasa mke hakuamini kama wako salama, pamoja na kwamba wameishi miaka 20 ndani ya ndoa na wana watoto 2, ilibidi awajulishe wanandugu wote na ikaamuliwa wakapime afya, ndiyo mke wake aliporidhika baada ya kukuta wapo safi. Cha ajabu ni picha ya miaka 20 iliyopita.
 
sidhani kama unaweza kutunza kumbukumbu kwa yule mliyeachana nae kwani naamini hamwezi mkaachana kwa wema lazima kuna kitu cha kusababisha
Sio unaweka ili kumkumbuka yeye ila kukumbuka zile nyakati.
 
khaaa Lizzy, nizipendee nini tena? zitarudisha maumivu bure.

lol....unahana upande mmoja kumtoa muhusika kisha ubakishe kipande?
Mshiki kama wewe ndo umemuacha? inakuwaje hapa? maana najua mwenye kuachwa ndo anakua na maumivu
 
  • Thanks
Reactions: bht
nyumbani kwangu nina sanduku maalum linakaa darini,humo nimejaza bad memories zote,siku nikipigwa chepe watakaobaki duniani watajua wenyewe nini walifanyie.Ila hata mimi huwa najiuliza hao mahawara ambao tuki differ huwa tunatelekeza huko nguo (mpaka za ndani) baadae huwa wanazifanyia nini?[/QUOTE]
hapo kwenye bold nimecheka sana...............u hae made my day...umesahau na zile nguo unazosahau unapokuwa umekuupushwa baada ya fumanizi....wanazipelekaga wapi?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom