Mambo vipi mazee
Kuna picha hapa za bongo watu wanavyojirusha katika siku zote tatu kuanzia ijumaa Joe Thomas mpaka Jumapili Eve na fat Joe
Huwezi amini watu wanaposema bongo hali ngumu ya maisha
Joe Thomas siku alipotua bongo
Joe Thomas akikamua
mikono juu
EVE akikamua.
Ilikuwa ni wikiend ya kujirusha tu Bongo . Kuanzia na kina Joe Thomas, Tanto Mentro & Devonte na Tanya Stephens , sherehe za miaka 3 za THT na mwisho kufunga kazi kwa Fat Joe na Eve . Bongo Kumekucha!!! bongo raha tele!!! ( Picha zote kwa hisani ya Abdallah Mrisho )
Fat Joe akikamua
Mwana FA
EvE akikamua
THT miaka 3
Wabongo wakipagawishwa na EvE
Ni kujirusha tu kwenda mbele
Nargis Mohamed (kulia) na shogae
...unamkumbuka Abby (mwenye kilevi mkononi) wa Big Brother alipokuwa na Mwisho Mwampamba?.. nae alidata kwa Joe Thomas
Wabongo wakijirusha kwenda mbele
Afande Sele akisalimiana na First Lady Mama Salma katika sherehe za THT miaka 3.
THT miaka 3, wadau kutoka Vodacom, Mwamvita Makamba (kushoto) na Fina Mango nao walikuwepo
Rais Jakaya Kikwete, Jumatatu alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 3 za kuanzishwa kwa taasisi ya Tanzania House Of Talents, zilizofanyika Karimjee gardens na kusema kuwa amefurahishwa sana na burudani aliyoipata.
Ni kujirusha tu Bongo
Kuna picha hapa za bongo watu wanavyojirusha katika siku zote tatu kuanzia ijumaa Joe Thomas mpaka Jumapili Eve na fat Joe
Huwezi amini watu wanaposema bongo hali ngumu ya maisha
Joe Thomas siku alipotua bongo
Joe Thomas akikamua
mikono juu
EVE akikamua.
Ilikuwa ni wikiend ya kujirusha tu Bongo . Kuanzia na kina Joe Thomas, Tanto Mentro & Devonte na Tanya Stephens , sherehe za miaka 3 za THT na mwisho kufunga kazi kwa Fat Joe na Eve . Bongo Kumekucha!!! bongo raha tele!!! ( Picha zote kwa hisani ya Abdallah Mrisho )
Fat Joe akikamua
Mwana FA
EvE akikamua
THT miaka 3
Wabongo wakipagawishwa na EvE
Ni kujirusha tu kwenda mbele
Nargis Mohamed (kulia) na shogae
...unamkumbuka Abby (mwenye kilevi mkononi) wa Big Brother alipokuwa na Mwisho Mwampamba?.. nae alidata kwa Joe Thomas
Wabongo wakijirusha kwenda mbele
Afande Sele akisalimiana na First Lady Mama Salma katika sherehe za THT miaka 3.
THT miaka 3, wadau kutoka Vodacom, Mwamvita Makamba (kushoto) na Fina Mango nao walikuwepo
Rais Jakaya Kikwete, Jumatatu alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 3 za kuanzishwa kwa taasisi ya Tanzania House Of Talents, zilizofanyika Karimjee gardens na kusema kuwa amefurahishwa sana na burudani aliyoipata.
Ni kujirusha tu Bongo