Picha zilizo shinda katika mashindano ya picha

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
besmella.gif




Picha zilizo shinda katika mashindano ya picha

3_47.jpg


1_55.jpg


5_44.jpg


2_55.jpg


7_41.jpg


9_35.jpg


4_46.jpg


13_33.jpg


6_42.jpg


11_35.jpg


8_38.jpg


12_33.jpg


16_27.jpg


14_30.jpg


17_21.jpg


15_27.jpg


10_35.jpg


19_15.jpg


20_14.jpg


18_22.jpg

 
Picha ya tatu inatia huzuni sana..
kabla hujafa hujaumbika kwa kweli..
Mngu tu atusaidie..
 
Mpiga picha ya tatu alichukua hatua gani baada ya kumuona huyo mtoto?
 
Wazungu wanaipenda sana hiyo picha ya tatu, hiyo ndiyo Afrika inayotambuliwa na Wazungu mpaka leo.
 
Mpiga picha ya tatu alichukua hatua gani baada ya kumuona huyo mtoto?
Hiyo Picha ya tatu ilipigwa Somalia wakati wa njaa kali miaka kadhaa iliyopita. Huyo mtoto alikuwa anatambaa kuelekea walipo watoa misaada wa mashirika ya UN, na akawa anazidiwa kutokana na njaa kali, huku huyo tai akiwa standby anamsubiria afe ili aanze kufaidi mzoga. Mpiga picha wa picha hiyo inasemekana alikuwa ni Mwingereza, ambaye baada ya kukishuhudia hicho alichokiona hapo, na kupiga picha hiyo, alijinyonga kutokana na msongo wa mawazo.
 
Hiyo Picha ya tatu ilipigwa Somalia wakati wa njaa kali miaka kadhaa iliyopita. Huyo mtoto alikuwa anatambaa kuelekea walipo watoa misaada wa mashirika ya UN, na akawa anazidiwa kutokana na njaa kali, huku huyo tai akiwa standby anamsubiria afe ili aanze kufaidi mzoga. Mpiga picha wa picha hiyo inasemekana alikuwa ni Mwingereza, ambaye baada ya kukishuhudia hicho alichokiona hapo, na kupiga picha hiyo, alijinyonga kutokana na msongo wa mawazo.

MPENDWA, KWA KUONGEZEA HAPO..........

mpiga picha alimuacha na kuondoka bila kumsaidia huyo mtoto, baadaye ikajulikana kuwa huyo mtoto alikufa na kuliwa na huyo tai. habari hii ilipoenea na mpiga picha alishutumiwa sana na wanaharakati na hata mchumba wake waliyetarajia kufunga naye ndoa alimkataa kwa kusema hataki kufunga ndoa na mtu katili kama huyo! hayo mashutumu toka kwa watu mbalimbali yalipomzidi alijuiua kwa kujinyonga!

hiyo picha inahuzunisha jamani,
si picha tu hapo,
ni msiba kamili wa somalia,
msiba usiisha huko somalia,
msiba endelevu wa bara la afrika,

ee Mwenyezi Mungu tunusuru watu wako!
 
hiyo picha ya treni inayopinduka huku abiria wake wakiiangalia, japo ni kuchakachuliwa, lakini inatisha kwa kweli wapendwa!

kifo kinakuja unakiangalia hivi hivi!

dah, usanii mwingine!
 
Ee Mungu wangu! Unamuona binadamu mwenzio katika hali kama hiyo una mpiga picha na kumwacha!! Pamoja marehemu ahukumiwi lakini lazima baadaye roho ilimsuta mpiga picha! Mungu utunusuru na hili janga. Na tuendelee kuwaombea ndugu zetu wasomalia...
 
Mpiga picha ya tatu alichukua hatua gani baada ya kumuona huyo mtoto?
Mimi na wewe hatuwezi jua ila pia ametusaidia kujua hali halisi ya maisha na matukio hapa duniani, wakati wengine wanatupa chakula wengine hali halisi ndio hiyo. Mungu atunusuru na majanga ya ukame na njaa kama picha hiyo inavyoonyesha ni huzuni kubwa.
 
Hiyo picha ya mcheza golf, mbona anaonekana alipiga karibu sana na mpira ndo unaanza kuondoka baada ya hapo ilikuwaje kwa mpiga picha alipona kweli?
 
We MziziMkavu una undugu na Michuzi nini? Maana mafoto unayotushushia tangu jana si ya kitoto.Kama ndo fani yako basi endelea nayo kwa bidii.
Picha ya huyo mwanajeshi anyejaribu kuvutwa na helicopter kutoka baharini huku the great white shark naye akiwa tayari kujipatia rizki yake imeniacha hoi kabisa.Sijui kama alipona! Pia huyo alikuwa anaelekea kwenye mdomo wa mamba sijui naye kama alipona.
 
Picha nyingi hizo ni feki, kazi ya Photoshop. Picha ya mamba na parashuti, ya papa na helicopter , ya treni.
 
kwa kweli mungu amrehemu mwafrika mwenzetu,. iwe aibu kwa viongozi wa afrika wanaojilimbikizia mali na kujali matumbo yao na wanao huku wakiacha waja wa mungu wakiangaika kwa umaskini, na hasa njaa huku wao kila na kunywa na kusaza.
 
MPENDWA, KWA KUONGEZEA HAPO..........

mpiga picha alimuacha na kuondoka bila kumsaidia huyo mtoto, baadaye ikajulikana kuwa huyo mtoto alikufa na kuliwa na huyo tai. habari hii ilipoenea na mpiga picha alishutumiwa sana na wanaharakati na hata mchumba wake waliyetarajia kufunga naye ndoa alimkataa kwa kusema hataki kufunga ndoa na mtu katili kama huyo! hayo mashutumu toka kwa watu mbalimbali yalipomzidi alijuiua kwa kujinyonga!

hiyo picha inahuzunisha jamani,
si picha tu hapo,
ni msiba kamili wa somalia,
msiba usiisha huko somalia,
msiba endelevu wa bara la afrika,

ee Mwenyezi Mungu tunusuru watu wako!

Correction kidogo wakuu kuhusu picha ya tatu... Jina la mpigaji picha io ya tatu anaitwa KEVIN Carter, ni Raia wa South Africa na io picha ilichukuliwa nchini SUDAN wakati wa ukame 1993.. alijiua mwaka 1994 kwa Carbon monoxide inhalation kutoka katika exhaust pipe ya gari lake mwenyewe...aliacha suicide note inayosema "I am depressed ... without phone ... money for rent ... money for child support ... money for debts ... money!!! ... I am haunted by the vivid memories of killings and corpses and anger and pain ... of starving or wounded children, of trigger-happy madmen, often police, of killer executioners ... I have gone to join Ken [recently deceased colleague Ken Oosterbroek] if I am that lucky "
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom