Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mpuuzi ni wewe unayeshabikia Mali zetu kuibiwa. Kutwa Rais ni kudhurura Huku akiteketeza kodi zetu kisa kwenda kupeleka zawadi za picha za maeneo aliyemuuzia sultani mwenzake!!!!Ikiwa watu watakuwa na mawazo kama yako basi dunia isingekuwa na maana kuishi,yaani wewe unachoamini na wengine wataka waamini?ama kweli ukimhisi jirani yako mwizi basi wewe ndio utaambulia dhambi zote,maana hata kama wapita njia wanapita wewe utahisi ndio anasogelea mlango wako kuvunja,
Naamini huna kazi za kufanya maan aungekuwa nayo usingekaa kuwaza upuuzi huu