kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Kimebaki chama cha wabibi vikongwe, hata akina babu wamekitosa!!!
Kimebaki chama cha wabibi vikongwe, hata akina babu wamekitosa!!!
Hapana huwezi niambia niwatake radhi ninachozungumzia ni uharisia kama picha zinavyojieleza pia fuatilia mkutano wa CCM jangwani asilimia kubwa walikuwa ni akina dada na akina mama, mi ushauri wangu kwako kama umekubaliana na vuguvugu la mabadiriko jitahidi kutoa elimu kwa mabinti wenzio unaoona bado hawajahamasika na kwa pamoja tutajikomboa toka kwa mkoloni mweusi CCM.
huko kwetu aisee kama watu wenyewe ndo hao hakuna unyomi wowote acha na wale aliosafiri nao... hii ni hulka yetu usiachie pesa ikupite akili kichwani mwako...
Halafu nadhani hayo ni maeneo ya huko kwa Mramba,wajinga ndo waliwao.Kumbe aliposema ikibidi wale majani ili ndege ya rais inunuliwe na wao kweli waliridhika?Nachukia sana e watanzania wenye kuuona umasikini kama vile ni utamaduni wao.Watu wa Kilimanjaro naomba wamhoji nape anazisemeaje kauli zake hatari za kibaguzi zenye misingi ya ukanda na ukabila. aliwahi kusema chadema ni chama cha wachaga.
Sasa aulizwe ana kauli gani kuhusu sera zake hizo za kuwabagua wachaga. Ni lazima abanwe. anawaambiaje wachaga walioko CCM? Je wamefanya makosa kuwa CCM?
Ya leo kwa Nape ni kali. Yaani wanaCCM wote meno yameng'oka ndiyo anatambia!!! Eti wanachama wakongwe. Sijui ndiyo wanalia au wanacheka????