ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
nape analipwa mamilioni na ccm, unafikiri mchezo. Yuko pale kwa ajili ya noti tu!aisee nape anazidi kunenepa kila kukicha naona hela za ruzuku zimemkubali
nape analipwa mamilioni na ccm, unafikiri mchezo. Yuko pale kwa ajili ya noti tu!aisee nape anazidi kunenepa kila kukicha naona hela za ruzuku zimemkubali
Sunday, October 21, 2012
Nape Nnauye, Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi akiweka jiwe la msingi katika ofisi mpya ya CCM ,Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro tarehe 20/10/2012
Wananchi wa kata ya Nanjara Reha wakimpokea Katibu wa NEC ,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye, tayari kwa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM kwa kiti cha Udiwani.
Wanachama wakongwe wa chama cha mapinduzi wakionyesha kukubaliana na hotuba ya Katibu wa NEC,itikadi na Uenezi, Nape Moses Nnauye alipowahutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni za Diwani wa Kata ya Nanjara Reha, Rombo ,mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya Madiwani wakiwa kwenye picha ya pamoja, Madiwani hawa ni kati ya Madiwani 21 ambao kwa pamoja wataweka nguvu zao kuhakikisha kata ya Nanjara Reha inarudi CCM. PICHA ZOTE NA ADAM MZEE
POSTED BY: BASHIR NKOROMO AT SUNDAY, OCTOBER 21, 2012
LADIES & GENTLEMEN
FRIENDS & ENEMIES
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA WAS FORMED BY UNIFICATION OF ISLAND OF PEMBA & ZIMBABWE..
THANK U A LOT...:A S tongue:
Sunday, October 21, 2012
Nape Nnauye, Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi akiweka jiwe la msingi katika ofisi mpya ya CCM ,Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro tarehe 20/10/2012
Wananchi wa kata ya Nanjara Reha wakimpokea Katibu wa NEC ,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye, tayari kwa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM kwa kiti cha Udiwani.
Wanachama wakongwe wa chama cha mapinduzi wakionyesha kukubaliana na hotuba ya Katibu wa NEC,itikadi na Uenezi, Nape Moses Nnauye alipowahutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni za Diwani wa Kata ya Nanjara Reha, Rombo ,mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya Madiwani wakiwa kwenye picha ya pamoja, Madiwani hawa ni kati ya Madiwani 21 ambao kwa pamoja wataweka nguvu zao kuhakikisha kata ya Nanjara Reha inarudi CCM. PICHA ZOTE NA ADAM MZEE
POSTED BY: BASHIR NKOROMO AT SUNDAY, OCTOBER 21, 2012
We kibogo tutake radhi mabinti,labda wale wanaongojea vitanda maalum.
Kila kona anayoenda nape 'watu kibao'
Mwanangu ana nyomi!!!!!!!!!!!
ccm oyeee! Itikia basi na wewehamna kitu just wastage of resources and time
chadema wakiingia wadrarakani wataweka lami barabara zote nchi nzima tena kwa wakati mmoja.ama kweli ya kuambiwa changanya na yako.hebu tujaribuni kuwa wa ungwana tupinge mambo ya msingi tu kuliko kila kitu sisi tunapinga na kulalamika tu.imagine wewe ni baba,una watoto wako ukiw\pikia wali wanakuambia ahh!wali gani hauna hata nyama,ukiwaletea viatu unasikia ahh!unajua soksi hatua lakini hujaleta,wewe utakuwa unajisikia je