Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Kwenye makongamano, warsha, semina na makongamano mbalimbali huwa kuna makamera mani wavamizi.
Hupiga picha na mwisho wa shughuli huzisambaza chini na kuziuza.
Swali langu ni hili, je unajua usipo nunua hizo picha, zikamdodea mpiga picha, je huzipeleka wapi?
Hupiga picha na mwisho wa shughuli huzisambaza chini na kuziuza.
Swali langu ni hili, je unajua usipo nunua hizo picha, zikamdodea mpiga picha, je huzipeleka wapi?