Picha za siku ya pili ya ziara Rais Kikwete nchini Canada asaini FIPA kulinda Canadians in TZ


Kitu kinachonishangaza ni kutembelea SENATE; Ina MAANA kweli tutaanzisha SENATE na atakuwa SENATOR ?
PICHA ya MWISHO nimeiweka Mara Mbili hicho ki-WIRE in Ear PIECE ? Ninavyojua Harper ni Anglophone... labda pia
Alikuwa anajibu Maswali Mengine kwa kutumia Francophone...
Tumesaini Mkataba wa kulinda All Canadian Investments Tanzania... Kwahiyo hata MIGODI kwahiyo; hawata UZA tena
BARRIC GOLD whatever they call it!!! ??? kwa CHINESE ? Kwasababu aliyeweka ni Mwandishi wa kichina aliyeuliza Swali
Naamini Maliasili na Utajiri wetu uko Salama nikimuona Prof. Muhongo around... Lakini nikiona ZITTO oh naanza kuogopa na
negativity zake...

Mawaziri wakuu wa Canada huwa wanaongea lugha zote mara nyingi. Ilikuwa hivyo John Chretien , yule aliyefuata badaya yake aliyekuwa waziri wa fedha hadi sasa Harper . Maana ukienda kule Quebec kupiga kampeni kuna Block Quebecois (BQ) kama hujui kifaransa kule unaondoka patupu kwenye 25% ya wapiga kura.
 
Mawaziri wakuu wa Canada huwa wanaongea lugha zote mara nyingi. Ilikuwa hivyo John Chretien , yule aliyefuata badaya yake aliyekuwa waziri wa fedha hadi sasa Harper . Maana ukienda kule Quebec kupiga kampeni kuna Block Quebecois (BQ) kama hujui kifaransa kule unaondoka patupu kwenye 25% ya wapiga kura.

Cretien alikuwa ni Francophone... kwahiyo ilimbidi aongee kiingereza kufanya Campaign... Wengine kama
Hawaongei Kifaransa wanachagua Msaidizi anayeongea Kifaransa ndie anayefanya campaign QUEBEC
 
Hivyo vitabu au makabrasha anayosaini ameyasoma mpaka mwisho na kuyaelewa au anajimwagilila tu?Isije ikawa Mambo ya Chief gani yule..................................:A S embarassed:

Chief Mangosongo wa Mzovero....hahahahahahahahahahahahah
 
Haya Gazeti la UHURU...

SAM_2132.JPG
 
Kuna mengi yanaendelea nyuma ya pazia kuhusu maswala ya uwekezaji wa Canada nchini TZ...haswa kwenye sekta ya madini ya gold....

Kinachoendelea kwenye uwekezaji ktk sekta ya gold TZ ni kuwepo kwa taarifa za uhakika za kuuza kampuni la African barrick Gold(ambao ni kampuni ya ki-Canada inayochimba gold tz)kwa China gold (ambalo ni kampuni kubwa kabisa la gold china)....

Hawa African barrick gold ni affiliate wa kampuni tanzu la Barrick Gold la ki-Canada....ambalo ndilo kubwa kabisa duniani kwa uzalishaji wa gold..na walijigawa toka mwaka 2010 na tangu hapo mauzo na uzalishaji wa gold toka kwa kampuni ya african barrick gold nchini tz yamekuwa yakisuasua na kuleta hofu kubwa kabisa kwa shareholders...sababu zikitajwa kuwa hali mbaya ya umeme wa uhakika tz na posibility ya political instability kama ilivyotokea kule marakana SA......haya ni kwa mujibu wa jarida la Financial Times......soma hapa..Barrick Gold explores sale of Africa stake - FT.com

Pengine ndio sababu hawa majamaa wa Canada wanarush kuwasainisha FIPA watawawala wetu....just incase watanzania watazidi kuamka na kudai kilicho chao toka kwa watawala....only time will tell....on this Zitto is very right.....
 
Tuacheni utani, jamani urais raha....cheki jamaa ma respect anayopewa......anha! ndio maana kina zitto hawalali.....kumbe!!!!
 
Hivyo vitabu au makabrasha anayosaini ameyasoma mpaka mwisho na kuyaelewa au anajimwagilila tu?Isije ikawa Mambo ya Chief gani yule..................................:A S embarassed:

300x250lwfwhkfcl.jpg


Isije ikawa kugawa fukwe za bahari ya hindi ikiwepo kigamboni kwa wazungu waje wazitengeneze kama picha hii ambayo ardhi hiyo ya Jamaica imeuzwa kwa wazungu ambao wanaihodhi na kufanya majambozi yao ya kuita wenzao matajiri kujipumzisha wakati wa daraja la chini na la kati wakivuja jasho kuzalisha kwenye makampuni yao.
 
Kusema kwamba kuna la maana anafanya JK kwenye hizi ziara hakuna sema tu kula raha, ache ale maisha mwanaume maana hana kazi mambo ya msingi ashughulikii sasa kama siyo kutembea afanye nini sasa
 
Back
Top Bottom