Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
YES HII NI NYAMONGO NA HILI NI MOJA YA JENEZA LILILOHIFADHI MWILI WA MAREHEMU ALIYEUWAWA KWA KUPIGWA RISASI NA ASKARI WA CCM, JENEZA HILI LILITUPWA BARARANI NA ASKARI. MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI!iwapi hapo mkuu ni nyamongoo au?
hapo kwenye nyekundu vipi?????????Kila nikiitazama picha hii, matukio yake na reaction ya serikali na CCm nasikia uchungu usio kifani. Pesa, vyeo huaribu utu wa mtu kiasi hiki kupitiliza hata mnyama mwenye kufuata silika tu.
hapo kwenye nyekundu vipi?????????
CCM imehusika vipi??