dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
watu wakimsikiliza rema
watu wakimsikiliza tundu lissu
watu wakimshangilia sugu alipokuwa anachana misitali
pamoja na mvua iliyokuwa inanyesha, watu hawakuchoka kuwasikiliza viongozi wa chadema
watu walipanda juu ya miti ili wawaone viongozi wa chadema kwa uzuri
hapa wapo darasani wakisikiliza somo la katiba
baadhi ya watu wa mataifa mbalimbali walio hudhulia
asikali waliamua kusimama pembeni ni kuacha vijana wa chadema wakisimamia usalama wa barabarani hasa kuongoza magari
sugu akichanisha pesa kwa ajili ya kuwezesha m4c
baadhi ya watu walisimama kwa mbali lakini ujumbe uliwafikia pia
masai akidumisha ulinzi karibu na jukwaa kuu
watu walivutiwa na hotuba ya dr.slaa
pamoja na manyunyu ya nvua watu walitulia
mkoloni wa wagosi wa kaya alikuwepo
bango lililo beba ujumbe wa siku
mnyika akibebwa jujuu mara baada ya mkutano
watu wengi walihudhulia
watu walijawa na furaha kuiona m4c dar es salaam
mbowe na mnyika wakiwa kwenye gali la wazi baada ya mkutano njiani kuelekea kinondoni
hili bango linaumiza roho za wanaccm
tundu lisuu na dr. slaa wakiwa kwenye ofisi za chadema dar mara baada ya msafara kuwasilikutoka jangwani
hapa ni maandamano ya usiku maeneo ya magomeni kuelekea kinondoni
watu walipagawa na mistari ya sugu
hiki ni kiberenge kilicho kuwa kwenye msafara wa kutoka jangwani kwenda makao makuu ya chadema
hapa dr.slaa akihutubia
gari ya wakina mbowe iisukumwa
gari ya dr.slaa ikisukumwa kutoka jangwani.hapa ni magomeni mapipa
hapa ni maeneo ya kinondoni maandamano yakielekea makao makuu ya chama
sugu akiimba huku amekanyaga kadi za chama cha ccm
gari ya dr.slaa akisukumwa huku mvua ikinyesha, hapa ni mkwajuni