- Thread starter
- #21
Nasubiria maoni ya Rejao. Hana la kusema, pressure ipo juu, ngome yao inatekwa hivi hivi.
Naona yuko busy Arumeru sasa
Nasubiria maoni ya Rejao. Hana la kusema, pressure ipo juu, ngome yao inatekwa hivi hivi.
Unakwendaje Ikulu na suti wakati unaowaongoza hawana hata shati!hawajamaa washone na suti za kwendea ikulu wamepita bila kupingwa
Ni chama tawala tangu 2010 hata magamba wanalijua hilo mfano mzuri ona wanavyomwaga fedha kwenye chaguzi ndogo.no comment,cdm chama tawala 2015
Zitto ni kati ya wanachama wachache wa CDM wanaojua wanachokifanya!Nasubiria maoni ya Rejao. Hana la kusema, pressure ipo juu, ngome yao inatekwa hivi hivi.
Ndio maana zitto anasema umri wa kugombea uraisi upunguzwe,keshasoma upepo dogo anaweza kuingia mjengoni 2015 kama hali itaendelea hivi