Picha za CHADEMA ilivyoingia Tanga kwa kishindo

I like this, For sure imekuja late sana baada ya tukio..Ila inapendeza kwa kweli na Chadema inatoa matumaini kwa watanzania,
Hivi mbunge gani akienda jimbo lingine au mkoa fukani anapokelewa hivi?
Nape sijaona, chiligati sijaona, wakati mwingine hata katibu mkuu wa magamba sijaona...Sasa hili nalo jambo
 
Dah, si kuna watu walisema hapa kwa Tanga Chadema hawakupata watu?

Ila kwa ushauri 'security' system iangaliwe kwa namna ya kipekee. Kwa namna Zitto alivyozongwa hapo chochote

chaweza kutokea. Sijui ni namna gani nzuri ya kiongozi kusalimiana na wananchi bila kuzongwa hivyo lakini ni vyema

mfumo wa ulinzi ukaangaliwa upya. Ni ushauri tuu lakini.
 
Bravo CHADEMA in Tanga.

Hii inaonyesha kuwa hata Uchaguzi Mkuu wa 2010 CHADEMA walishinda katika mkoa wa Tanga kama si uchakachuaji wa Chama cha Magamba.

Hopefully kama kutakuwa na Uchaguzi wa aina yoyote utafanyika leo iwe ni Urais,Ubunge na Udiwani basi CHADEMA kitashika nambari wahead!

Come 2015 CCM wasahau kuwa Tanga ni ngome yao. Forget!
 
Dah, si kuna watu walisema hapa kwa Tanga Chadema hawakupata watu?

Ila kwa ushauri 'security' system iangaliwe kwa namna ya kipekee. Kwa namna Zitto alivyozongwa hapo chochote

chaweza kutokea. Sijui ni namna gani nzuri ya kiongozi kusalimiana na wananchi bila kuzongwa hivyo lakini ni vyema

mfumo wa ulinzi ukaangaliwa upya. Ni ushauri tuu lakini.

Uuu...CDM ilikoswa watu Tanga...Sasa yako wapi?!...CCM endeleeni kujifariji ila ukweli mko katika hali mbaya sana inawabidi mjipange upya...2015 haiko mbali.
 
Uuu...CDM ilikoswa watu Tanga...Sasa yako wapi?!...CCM endeleeni kujifariji ila ukweli mko katika hali mbaya sana inawabidi mjipange upya...2015 haiko mbali.

Ndugu,

Ni kweli maneno yalikuwa mengi. Ila ikumbukwe kwamba ukweli utabaki kuwa ni ukweli hata kama itapita miaka. Mungu ibariki CDM na watu wake wote
 
Kuna pro Magamba walisema CDM ilikosa watu Tanga. au hii ni Photoshop:lol::lol:
 
Jana Mkuu wa Mkoa (ambaye kikatiba ni kada wa CCM) wa Tanga, Bi Chiku ..., alikuwa na kikao kizito na wakuu wa wilaya za Tanga na watendaji wengine na ajenda kuu ilikuwa juu ya namna ya kuboresha zao la MKONGE mkoani kwake kwa kauli mbiu ya "Mkonge ni Tanga na Tanga ni Mkonge".

SOURCE: Radio One - Nipashe [Leo].

Wana JF hebu tujiulize:-

(i) Je, yawezekana mikakati hii "mipya" ya watendaji wa mkoa ikawa na uhusiano na hoja binafsi ya Mh. Zitto Kabwe (MB) Bungeni na hatimaye ziara ya wabunge wa CHADEMA mkoani Tanga hivi karibuni?

(ii) Kama jibu ni ndiyo, hivi watendaji hawa wataendelea kusubiri kuamshwa au kusukumwa hususan na wapinzani au jamii hadi lini? Hivi tangu mwanzo hawakujua kwamba wanapaswa kuchukua hatua kuhakikisha zao la mkonge halifikii hatua mbaya lililo nayo hivi sasa badala ya kusubiri hadi wakurupushwe na hatimaye "kuiteka hoja"?
 
Ndio maana zitto anasema umri wa kugombea uraisi upunguzwe,keshasoma upepo dogo anaweza kuingia mjengoni 2015 kama hali itaendelea hivi
 
Jana Mkuu wa Mkoa (ambaye kikatiba ni kada wa CCM) wa Tanga, Bi Chiku ..., alikuwa na kikao kizito na wakuu wa wilaya za Tanga na watendaji wengine na ajenda kuu ilikuwa juu ya namna ya kuboresha zao la MKONGE mkoani kwake kwa kauli mbiu ya "Mkonge ni Tanga na Tanga ni Mkonge".

SOURCE: Radio One - Nipashe [Leo].

Wana JF hebu tujiulize:-

(i) Je, yawezekana mikakati hii "mipya" ya watendaji wa mkoa ikawa na uhusiano na hoja binafsi ya Mh. Zitto Kabwe (MB) Bungeni na hatimaye ziara ya wabunge wa CHADEMA mkoani Tanga hivi karibuni?

(ii) Kama jibu ni ndiyo, hivi watendaji hawa wataendelea kusubiri kuamshwa au kusukumwa hususan na wapinzani au jamii hadi lini? Hivi tangu mwanzo hawakujua kwamba wanapaswa kuchukua hatua kuhakikisha zao la mkonge halifikii hatua mbaya lililo nayo hivi sasa badala ya kusubiri hadi wakurupushwe na hatimaye "kuiteka hoja"?

Wameshtuka mkuu wangu
 
Back
Top Bottom