Sita tangu anze hizo? Ndo mana hana jipya
Alikuwa wa umri wa MAIGE wakati huo..........baraza kubwa sana
Kumbe na Ana makinda alikuwepo? Mbona hafuati miiko ya NYERERE?
sidhani kama huko sahihi, maana kundi la vijana lilikuwa na akina makinda wakatu huo sio sitta
.Kumbe na Ana makinda alikuwepo? Mbona hafuati miiko ya NYERERE?
Wote unawaona leo kwa asilimia 85 walikuwepo. Ili tz tusonge mbele mie naonelea lazima tukipoteze hicho kizazi chote regardless anatoka chama gani.
nilichogundua hapa nyerere hakuwa mdini baraza lina waislamu 10.
1. Ally hassan mwinyi
2. Salim ahmed salim
3. Rashid kawawa
4. Salimin amour.
5. Daudi mwakawago
6. Mustafa nyang'anyi
7. Kigoma ally malima.
8. Amir jamal
9.alnoor kassum
10. A. Shabaan
Nilichogundua hapa Nyerere hakuwa mdini baraza lina waislamu 10.
1. ALLY HASSAN MWINYI
2. SALIM AHMED SALIM
3. RASHID KAWAWA
4. SALIMIN AMOUR.
5. DAUDI MWAKAWAGO
6. MUSTAFA NYANG'ANYI
7. KIGOMA ALLY MALIMA.
8. AMIR JAMAL
9.ALNOOR KASSUM
10. A. SHABAAN
Kumbe na Ana makinda alikuwepo? Mbona hafuati miiko ya NYERERE?