Koplo Maforo Muteba wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), akiwaeleza waathirika wa mafuriko kukaa kwenye mstari wakati wa zoezi la uhakiki wa waathirika hao kwenye kambi ya Hananasif Kinondoni jijini Dar es Salaam jana.
Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera uratibu wa bunge William Lukuvi akisaidia kusonga ugali katika kambi ya wathirika wa mafuriko iliypo Shule ya Sekondari ya Benjamini Mkapa wakati waziri mkuu Mizengo Pinda alipotembelea kuangalia hali za wathirika hao jana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.