Picha yangu ya leo hii

Edgoodies.jpg




UMEME HAKUNA TAMAA YA KUUPATA TENA?
 
GAMBA.jpg
GAMBA.jpg



Ni kweli amekosekana mkereketwa jasiri mshika korombo akayabobonyoa haya magamba-gandamizi sugu na korofi
KWA NGUVU
? Kubembelezana mpaka lini wakati nyoka wetu mpendwa anazidi kudhoofika? Kipi ni cha muhimu zaidi: magamba machafu yaliyopauka na kumaliza muda wake au afya ya nyoka wetu mpendwa? Aiiii !!!…

GAMBA+%281%29.jpg












2 of 2



 
Malasusa-mtoto.jpg

Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Alex Malasusa, akiwa amembeba mtoto baada ya kumalizika kwa ibada ya Krismas kwenye Kanisa la Azania Front, jijini Dar es Salaam jana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom