Bakari Maligwa
Member
- Aug 18, 2010
- 65
- 22
...Bunge letu (jinsi lilivyojengwa na kuwekwa viti vya starehe) linawafanya wabunge walale..! Si Wassira (Stephen) [MB] peke yake; wapo wengi wanaolala ndani ya bunge. Tulihitaji BUNGE LA MAKABWELA...lakini tumejenga BUNGE LA WACHAPA USINGIZI....lakini msisahau kwamba wengine wanakula sana "SUPU YA UTUMBO WA MBUZI/NG'OMBE" na chapati, maandazi na au ugali "uliyolowekwa na hamira" wanashiba na kuvimbiwa...kwa nini wasilale???! Wanakula bure, hawana cha kujadili isipokuwa majungu na kupiga porojo...kwa nini wasichape usingizi wa pono na kukoroma?