Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
mnh avae baibui afe njaa???! nyie vipi?:A S 13:
Huyo huyo ukoo mzima wanamtegemea atawalishaje wote? lazima aangalie chaneli zinazo mtoa
mnh avae baibui afe njaa???! nyie vipi?:A S 13:
Jamani is so true nimesikia from reliable source kuwa ni mlokole and for your info also married woman. Sijui ni maadili gani anafundisha jamii ya kupose uchi in public.
Binti kaamua kuuvua utu..fedha kweli mwanaharamu
Jamani ulokole wa dizaini hii mbona waliabisha kanisa sasa! Mungu tusaidie tukisema tumeokoka basi tumaanishe kwa matendo..
sio wote wamuitao bwana watauona ufalme wa mbinguni....haleluiyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!mnh:A S 13::A S 13:
halafu kuna mtu utamsikia anasema eti kapendeza,,,,,, huu ni ufirauni na ushetani.
sio wote wamuitao bwana watauona ufalme wa mbinguni....haleluiyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!mnh:A S 13::A S 13: