Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,880
Kama utapewa kalamu ya risasi(pencil) na karatasi ,ukaambiwa uichore tanzania ya kesho,je ungechora picha gani?kwa nini?
ningechora shule za kata na matokeo yao ya form 4
View attachment 47821
ningechora shule za kata na matokeo yao ya form 4
View attachment 47821
Saint Ivuga, hii siamini, ngoja nika-confirm necta!!
kwa sababu tz yetu nyupeeee km madhiwa, na tamuuuu km asali.@jan jaweed,kwa nini ungechora hvyo??????????/