Naomba muongozo wa spika!!!
usijali, sasa hivi si ana jifanya hataki kukutafuna, chakufanya mwambie leo una taka umpe! Najua atakubali na hapo utapata chance ya kuomba msamaha huku unampa zaidi ya yule kwenye picha. Hawezi kuchomoka hapo lazima akusamehe.
Erotica me thought kuwa ni mshauri wako, haya sasa unamwaga majanga hapa unaishia kutukanwa.....you should have told me first....tell that bway to chill kama mapema hivi anaanza wehuka na picha moko je akiona album nzima itakuwaje?