jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Heshima wakuu!
naandika nikiwa na kumbukumbu ya senema ya mchanganyiko wa vionjo vya kibongo na kichina (kichibong) ambapo mhusika mkuu akiwa waziri mdogo wa viwanda na biashara ........... NYALANDU.
Alituambia mchana kweupe anawatimua wamachinga wa kichina (nadhani kwastaili za kibanga) anapenda kusema "ili kuhakikisha kwamba........" wanabaki wawekezaji wenye sifa na hadhi ya kiwekezaji. kwa waliopita kariakoo hakuna dalili ya wataalamu wa kunk-fu bin shotokan kuonekana kiwekezaji zaidi kuliko kimachinga, tumeliwa!!!!
hakuna mchina ambaye amepandishwa pipa kurudishwa gwang-zu,
Naazimia kusema NYALANDU ni muongo, kaliongopea taifa, anatumia vibaya fedha za umma kujitafutia umaarufu wakisiasa, hana nia njema na nchi yetu, kwa anayedhani au kuamini namsingizia NYALANDU amwage utetezi wake humu jamvini.
Nawasilisha
naandika nikiwa na kumbukumbu ya senema ya mchanganyiko wa vionjo vya kibongo na kichina (kichibong) ambapo mhusika mkuu akiwa waziri mdogo wa viwanda na biashara ........... NYALANDU.
Alituambia mchana kweupe anawatimua wamachinga wa kichina (nadhani kwastaili za kibanga) anapenda kusema "ili kuhakikisha kwamba........" wanabaki wawekezaji wenye sifa na hadhi ya kiwekezaji. kwa waliopita kariakoo hakuna dalili ya wataalamu wa kunk-fu bin shotokan kuonekana kiwekezaji zaidi kuliko kimachinga, tumeliwa!!!!
hakuna mchina ambaye amepandishwa pipa kurudishwa gwang-zu,
Naazimia kusema NYALANDU ni muongo, kaliongopea taifa, anatumia vibaya fedha za umma kujitafutia umaarufu wakisiasa, hana nia njema na nchi yetu, kwa anayedhani au kuamini namsingizia NYALANDU amwage utetezi wake humu jamvini.
Nawasilisha