MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Dume moja liliokota kifaa cha "Twanga Halafu Kimbia" na wakakubaliana kwenda nyumbani kwa "Msichana".
Baada ya kumaliza kufanya mapenzi, dume likaona picha ya mwanamume juu ya meza. Wivu wa ghafla ukampanda.
Dume: "Picha ya nani hii?", aliuliza lakini msichana hakujibu."Ni ya mwanamme wako?"
Msichana: "Hapana"
Dume : " Ni kaka yako?"
Msichana: "Mm mm"
Dume: "Ni baba yako alipokuwa kijana?"
Msichana: "Hapana"
Dume: "Niambie basi, ni ya nani?
Msichana: "Kumbe una wivu enh?"
Dume: "Wacha kunizungusha, ni picha ya nani?"
Msichana: "NI MIMI KABLA YA KUFANYA OPERESHENI YA KUBADILI JINSIA"
Baada ya kumaliza kufanya mapenzi, dume likaona picha ya mwanamume juu ya meza. Wivu wa ghafla ukampanda.
Dume: "Picha ya nani hii?", aliuliza lakini msichana hakujibu."Ni ya mwanamme wako?"
Msichana: "Hapana"
Dume : " Ni kaka yako?"
Msichana: "Mm mm"
Dume: "Ni baba yako alipokuwa kijana?"
Msichana: "Hapana"
Dume: "Niambie basi, ni ya nani?
Msichana: "Kumbe una wivu enh?"
Dume: "Wacha kunizungusha, ni picha ya nani?"
Msichana: "NI MIMI KABLA YA KUFANYA OPERESHENI YA KUBADILI JINSIA"