figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
mia
Wapiga marufuku, public toilet hakunaHii si imepigwa marufuku?
Mia mia mia.
si ungesema tu mia tatu 300
Wapiga marufuku, public toilet hakuna
si ungesema tu mia tatu 300
Hii Morogoro baada ya kuvuka geti la mikumi kama unakuja Dar kuna sehemu sijui kunaitwaje vileee... tena SUMRY HIGH CLASS hiyo nimechimba sana dawa mitaa hiyo!
si ungesema tu mia tatu 300
Ndo cha kushangaza.
But i think km kungetokea mtu mwenye uwezo wake akajenga private toilets kwenye vituo vyote vya kuchimba dawa ingependeza sana na kuondoa hii aibu.
kwa hiyo wewe unajua kujumlisha tu, kutoa hujui, pengine ni mia toa mia toa mia... itakuwa ngapi?