Nani anataka mwanae kuwa wa 'majaribio' ili hali uwezo wa kutokumfanya wa 'majaribio' anao? Nahisi hata kwangu ingekuwa ngumu...Cha msingi sisi tupambane waboreshe mazingira ya hizo za serikali, kuwapiga mikwara wawatoe wa kwao huko, ni njozi tulivu...