Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh teeeeeeeeeh, we jamaa kwani hapa ni uingereza?watanzania wengi wana angalia mambo kijamaa zaidi.Hata shule za serikali zikiboreshwa hadi kuwa kama zilivyo shule za ST MARYS bado kutakuwa na shule za watu wenye pesa mingi.Nenda Uingereza public schools ni nzuri lakini huwezi mkuta mtoto wa waziri yeyote anasoma kule.