Picha ya Mwigulu Nchemba na Mwanae yazua mjadala mitandaoni

Hivi kuna kiongozi walau wa ngazi ya wilaya ambaye mtoto wake anasoma shule yoyote ya serikali? Anyway hata kwa mfano kama sio ugonjwa wa dharula (kama ajali) kiongozi gani anayetibiwa hospitali za serikali?
 
Shule za serikali zile tulizosoma sisi hapa Dar enzi hizo mfano Azania, Kibasila, Forodhani, Benjamin Mkapa nk bado zina hadhi fulani na hata watoto wakichaguliwa kwenye mashule haya wanakuwa wanajivunia sana....Changamoto bado ipo kwenye shule za kata...huko ndiko serikali inaelekeza nguvu zake ili kuzifanya ziwe na ubora unao hitajika.

#SasaKaziTu
 
Nimechukia sana mkuu....mwanangu kimbwe nimempeleka shule za kata kila siku akirud analalamika njaa hawali shulen.....halafu wakwao wanasoma shule hizo zenyechakula wanawaanda watoto wetuvwaje kutawaliwa na watoto wao pia mkuu
Pesa unazopata kwenye kazi zako unapeleka wapi kama hutaki kumlisha mtoto wako wewe kilaza!? Kama unataka maisha ya Mwigulu, basi gombea ubunge...ukifanikiwa utapeleka mwanao kokote unapojisikia. Sio unalia lia tu hapa.
 
Pesa unazopata kwenye kazi zako unapeleka wapi kama hutaki kumlisha mtoto wako wewe kilaza!? Kama unataka maisha ya Mwigulu, basi gombea ubunge...ukifanikiwa utapeleka mwanao kokote unapojisikia. Sio unalia lia tu hapa.
Napata pesa ya kumlisha ila kwa makusudi tumekatazwa kulipa hiyo hela...Mungua awalani hawa....
 
Nawashangaa mnaowaamini wana sihasa, kuamini sanaa zao na yale mnayoaminishwa kwenye media kuhusu wao. Mashabiki ndio mnatoana macho wao wao wanawachora tuu...familia zao kwanza na maslai yao kwanza. Huyu jamaa kila siku anavaa bendera za Tanzania, amesahau bendera ya uturuki tuu.
 
mbona amechelewa kuzaa, anawatoto hadi wanasoma vidudu, huyo alitakiea awe mjukuu wake
 
Nawashangaa mnaowaamini wana sihasa, kuamini sanaa zao na yale mnayoaminishwa kwenye media kuhusu wao. Mashabiki ndio mnatoana macho wao wao wanawachora tuu...familia zao kwanza na maslai yao kwanza. Huyu jamaa kila siku anavaa bendera za Tanzania, amesahau bendera ya uturuki tuu.
 
View attachment 321828
Picha ya Waziri wa Kilimo na Mifugo na Mbunge wa Iramba Mashariki imezua "hisia" tofauti na mijadala mitandaoni.Picha hiyo inamuonyesha Mh.Mwigulu akiwa na mwanae wa kiume,na "Caption" ya picha inayosomeka elimuniufunguo. Kikubwa kilichozua mjadala ni nembo katika fulana ya mtoto yenye maandishi ya FEZA SCHOOL.

Maswali na mijadala ya wengi ni kuwa,itakuwaje na moyo wa kuimarisha elimu ktk shule za umma kama sehemu ya mawaziri ambao ni watekelezaji wa sera ya Elimubure na Uboreshwaji wa elimu katika shule za umma wanakimbiza watoto wao katika shule binafsi? Kwanini Mawaziri ambao ni sehemu ya utekelezaji wa sera wanaoamini katika elimu bora katika shule za umma wao hawawapeleki watoto wao huko?

Picha hii imezua mijadala tofautitofauti na wapo wanoona Mh.Mwigulu yupo sahihi kupeleka watoto shule binafsi sababu ukweli ni kuwa shule za serikali elimu yao ni duni na isiyo na ushindani.

Hivyo mawaziri kuwapeleka watoto shule binafsi na zenye ubora kama FEZA SCHOOL ni kuwaepusha na elimu duni inayotolewa na serikali
Hebu Twambie watoto wa Mbowe na Lissu wanasoma shule gani?
 
Toto lenyewe limeshiba, siyo sampuli ya watoto wa kitanzania hiyo;
acha tu hao wetu tusomeshe kwa kanumba na mkopo pia wanawanyima mbadala wake wanawapa hao wao;
Halafu hapo mwenyewe ana furahi kuona litoto linene kama puto. Na hizo shule wanapewa maziwa ya Nido na mayai kwa wingi. Likifikisha miaka mitano tayari na ugonjwa wa moyo juu.
 
Kiuhalisia viongozi wangetakiwa wawe mfano lakini sivyo,japo natambua itakuwa ngumu kulitekeleza hili kwa vitendo
 
Unafiki ni pamoja na huu. Huyu Mwigulu ndiye mwaka jana alimkomalia Bw Mbowe kusomesha watoto wake nje ya nchi au shule binafsi!
 
nadhani huo mjadala umezua wewe... sijaona cha ajabu ... mshahara wake unaruhusu mwanaye kusoma FEZA
 
Hii mpya maendeleo Tanzania ni mpaka kiama ya wafu. Sasa kama waziri anakimbizia mtoto wake Feza je hiyo elimu inayotolewa na shule za umma ambazo yeye ni msimamizi wake zitakuwa na tija kweli? Kwanini ampeleke Feza?
 
Ni wazi huyo mtoto ni wa umri wa Chekea, kwa maana hiyo Mwigulu anampeleka mwanae Chekea ya bei ya juu kabisa nchini. Feza School ni miongoni mwa shule zinatoza gharama za juu sana hapa Tanzania. Mwigulu anajidai ni mzalendo sana hata kuvaa Tia yenye bendera ya Tanzania kumbe naye ni wale wale tu! Na hii inaoenesha jinsi gani Magufuli ana kibarua kigumu kuboresha shule za umma maana mawaziri wako wako busy na kuimirisha shule za Private. Naanza kujua kiburi cha hizi shule za hawa mabwana kinatoka wapi?
View attachment 321828
Picha ya Waziri wa Kilimo na Mifugo na Mbunge wa Iramba Mashariki imezua "hisia" tofauti na mijadala mitandaoni.Picha hiyo inamuonyesha Mh.Mwigulu akiwa na mwanae wa kiume,na "Caption" ya picha inayosomeka elimuniufunguo. Kikubwa kilichozua mjadala ni nembo katika fulana ya mtoto yenye maandishi ya FEZA SCHOOL.

Maswali na mijadala ya wengi ni kuwa,itakuwaje na moyo wa kuimarisha elimu ktk shule za umma kama sehemu ya mawaziri ambao ni watekelezaji wa sera ya Elimubure na Uboreshwaji wa elimu katika shule za umma wanakimbiza watoto wao katika shule binafsi? Kwanini Mawaziri ambao ni sehemu ya utekelezaji wa sera wanaoamini katika elimu bora katika shule za umma wao hawawapeleki watoto wao huko?

Picha hii imezua mijadala tofautitofauti na wapo wanoona Mh.Mwigulu yupo sahihi kupeleka watoto shule binafsi sababu ukweli ni kuwa shule za serikali elimu yao ni duni na isiyo na ushindani.

Hivyo mawaziri kuwapeleka watoto shule binafsi na zenye ubora kama FEZA SCHOOL ni kuwaepusha na elimu duni inayotolewa na serikali
Kosa linalofanyika ni kumuhukumu mwigulu kwa kumpeleka mwanae private school!
Tunasahau kuwa Kila mzazi anatamani mwanae apate kilicho bora kabisa! Kwa sasa Feza ina ubora huo ambao hata sisi tungekuwa na nafasi ya kufanya hivyo tusingesita!
Ubovu wa elimu yetu una sura nyingi na umeshakomaa!
Elimu ilizorota hata kabla ya mwigulu kumaliza shule, wapo wanaozikumbuka enzi za shule za kufaulu na shule za kufeli "private schools"! Tulikuwa na zama za special schools, angalau elimu yetu ilikuwa na sehemu ya mfano lkn wapi, watu wakazifuta kabla ya mwigulu kumaliza chuo!
Tatizo halipo kwa mtu mmoja akiwa waziri au raisi etc, shida ipo kwa mifumo mizima ya maisha yetu ambapo siasa haiishii katika kutoa dira, inaenda mbali na kutawala kila mfumo wa utendaji!
Taaluma zilipaswa kuundiwa tu board au mifumo ya utendaji, lkn leo mtu akiamka na kimkakati chake labda kakianzisha mwenyewe au kwa pesa za wahisani anatafuta pa kufanyia majaribio! Nchi imeshakuwa na viongozi wa ajabu ktkk elimu. Wapo waliofikiri ku-combine masomo ya sayansi ili liwe somo moja, wapo waliofuta michezo mashuleni, wapo waliofuta mitihani ya kidato cha 2 na STD 4, wapo waliotaka kuiondoa div 0 ktk elimu na kuibadili kwa kuona labda haiwavutii, na sasa plan za kuondoa ada, bei elekezi etc nazo ndio zinataka kuondoa ubora ktk elimu ya umma na ile ya shule za private! Lkn pia tumekosa mtu yeyote aliyewahi kudesign chochote ktk kuboresha elimu yetu!
Sasa nini ambacho Mimi na wewe tumejaribu kufanya kuisaidia elimu?.... hakuna!
Nini wanasiasa wetu wamefanya kuboresha elimu?...... Hakuna!
Nadhani sote ni mashahidi kuwa tulikataa wagombea wetu wasihudhurie midahalo ambayo labda inhetusaidia kujua mipango yao ktk maeneo mbalimbali ya maendeleo ikiwemo elimu!
Sasa zaidi ya kuondolewa ada ambayo wengi walililia hakuna mpango mwingine wowote wa elimu tuujuao na tutaendelea kusubiri huruma za JPM na team yake!
Kulikoni kumlaumu Mwigulu ni bora tutumie jukwaa hili kushauri labda tunaweza kusikilizwa!
 
Kosa linalofanyika ni kumuhukumu mwigulu kwa kumpeleka mwanae private school!
Tunasahau kuwa Kila mzazi anatamani mwanae apate kilicho bora kabisa! Kwa sasa Feza ina ubora huo ambao hata sisi tungekuwa na nafasi ya kufanya hivyo tusingesita!
Ubovu wa elimu yetu una sura nyingi na umeshakomaa!

Kulikoni kumlaumu Mwigulu ni bora tutumie jukwaa hili kushauri labda tunaweza kusikiliza!

One of the most expensive private schools in Tanzania! Na hapo ni chekechea!
 
One of the most expensive private schools in Tanzania! Na hapo ni chekechea!
Mwigulu anaweza kulipa ada! Kwako ni most expensive, kwake ninreasonable price kwa quality of education!
Wapo wababa wanaokunywa Pombe kwa mwaka pesa nyingi kuliko ada ya Feza! Ktk maisha ñi kupanga priorities tu!
 
Back
Top Bottom