nani alikwambia siasa ni kutosalimiana na mpinzani wako?..........
think beyond the next meal man!!
I really like your comment! Upinzani sio vita au someone take issues personal. Lazima tujifunze tactics za upinzani na jlengo lazima libaki on policies na strategies za kuleta solutions za Kitaifa. Ukiangalia hapa Mbowe kamfuata JK kumsalimia na nina uhakika Jk asingefanya hivyo kwa Mbowe...Pia ukiangalia hii picha JK anaonekana kushtushwa kwa Mbowe kumpa mkono, inaonekana JK alitaka kuanguka. This is education tips to CCM members
"Point is Always Look at Your Enemy Eyes and You Might Learn Something Strategic in Long Run"