monge
Member
- Apr 10, 2010
- 30
- 0
tatizo ni kwamba hawa jamaa wanaamrishwa na hao wakubwa wao wafanye madudu..ila polisi wenyewe wala hawataki kwani lichama lenyewe la mafisadi lilishawachosha. Ukichukulia walivyo na maisha duni yasioyokua na hamasa, wamekua kama watoto yatima, kwa hiyo hata kazi wanazofanya wanafanya kwa msongo wa mawazo.
ni kweli!