Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Madiwani wa Chadema wa Halmashauri ya Jiji la Arusha waliofukuzwa uanachana wakijadiliana jambo kabla ya kuingia katika kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho ili kuhojiwa, mjini Dodoma.
Kuanzia kushoto
- Estomih Mallah wa Kata ya Kimandolu
- John Bayo wa Kata ya Elerai
- Ruben Ngowi wa Kata ya Themi,
- Rehema Mohamed wa Viti Maalum
- Charles Mpanda wa Kata ya kaloleni
HESHIMUNI NA KUYATII MAMLAKA YALIYO JUU YENU