Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Nimetumiwa kwa njia ya email na mdau mmoja picha ya askari polisi akiburutwa na gari lao. Picha ya lini hii jamani na kama ni kweli (sio photoshopping) tunaelekea wapi iwapo polisi wameanza kutojaliana wao kwa wao? Sisi raia tutapona kweli?
Nauliza tu! Ndimi Bazazi!
Nauliza tu! Ndimi Bazazi!