Picha ya leo ufalme na umalkia usiokoma

wakati sisi tunauangamiza utamaduni wetu kwa ufinyu wa kufikiri na kutaka kuhakiksha maslahi yetu binafsi hayapati kikwazo, wenzetu wanauendeleza kwa nguvu zote, Uingereza, Norway, Sweden n.k. nchi hizi ni tajiri sana na zinaongoza kwa kutupa misaada, ila hata ukienda kwao, wamehifadhi vya kutosha zile kumbukumbu za mila na desturi an bado wanajitahidi kupractice mila kila inapowezekana.

Mkuu Sangara, ndiyo maana pamoja na kuiunga mkono hoja yako ya nyumba bora, ila siafikiani na dhana ya kutokomeza nyumba za udongo na makuti, iwapo zitaboreshwa, nyumba hizi hata waingereza wanazo leo, hazina kelele, haziingizi baridi wala joto na ni very comfortable afrodable kwakuwa ni organic no chemicals za paints kama lead n.k. Hebu fanya utafiti kule South Africa uone jinsi wanavyozitengeneza nyumba hizi, pia kule Usambara nimeona, wanazipaka rangi zitokanazo na udongo na mimea, zinapendeza kwelikweli. Elimu ya kuziboresha ili zisibebe magonjwa na zidumu mda mrefu inahitajika.
 
wakati sisi tunauangamiza utamaduni wetu kwa ufinyu wa kufikiri na kutaka kuhakiksha maslahi yetu binafsi hayapati kikwazo, wenzetu wanauendeleza kwa nguvu zote, Uingereza, Norway, Sweden n.k. nchi hizi ni tajiri sana na zinaongoza kwa kutupa misaada, ila hata ukienda kwao, wamehifadhi vya kutosha zile kumbukumbu za mila na desturi an bado wanajitahidi kupractice mila kila inapowezekana.

Mkuu Sangara, ndiyo maana pamoja na kuiunga mkono hoja yako ya nyumba bora, ila siafikiani na dhana ya kutokomeza nyumba za udongo na makuti, iwapo zitaboreshwa, nyumba hizi hata waingereza wanazo leo, hazina kelele, haziingizi baridi wala joto na ni very comfortable afrodable kwakuwa ni organic no chemicals za paints kama lead n.k. Hebu fanya utafiti kule South Africa uone jinsi wanavyozitengeneza nyumba hizi, pia kule Usambara nimeona, wanazipaka rangi zitokanazo na udongo na mimea, zinapendeza kwelikweli. Elimu ya kuziboresha ili zisibebe magonjwa na zidumu mda mrefu inahitajika.

Umenikumbusha nilipoona utamaduni wa nchi za magharibi kujenga nyumba kubwa kwa timber, jumba la 4-5 stories lenye apartiment zaidi ya 300 linajengwa kwa mbao tu na likiisha na kunakishi kwa plastic huwezi kuamini kama ni nyumba ya mbao. Huu ni utamaduni wao, na ni gharama nafuu kuliko kushindilia saruji gharama ambayo wengi hatuiwezi.

Vijijini ningeshauri zaidi matofali ya kuchoma ni nyumba za kudumu ambazo wengi wanamuda gharama zake, kwani wafyatuaji wa matofali ni sisi wenyewe, ila tu uwepo utaratibu fulani wa kupata miti ya kuchomea matanuru vinginevyo miti itapukutika kama ulaya ambako imebaki miti ya kupandwa tu na miti asilia ni hadithi tu.

Marekani wamejitahidi sana kutunza madhari ya maliasili kkuliko nchi nyingi zilizoendelea, ole wako ukate mti maana ni kitalu cha mtu, kwani mwenye kutaka kuni kipindi cha winter au nyama choma lazima aende supermarket hakuna kwenda kuokota porini.
 
Back
Top Bottom