Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 111
Sasa wewe mwenyewe uko wapi?
Ila hivyo vitenesi bomba
Ila hivyo vitenesi bomba
Hizi pesa ni moja wapo ya zawadi kubwa sana nilizopata katika harusi yangu kama miaka miaka miwili iliyopita. Pesa hizo zilitolewa kama zawadi na wazazi wa mke wangu kama zawadi kwa kufunga pingu za maisha. Hapa ni hotelini tukiwa bado tunakula na kufurahia honeymoon yetu baada ya kufunga ndoa.
Sasa wewe mwenyewe uko wapi?
Ila hivyo vitenesi bomba
sifa za kijinga hizo
YM nina swali: Je, umekwishapata naye mtoto?
Hadithi yako inatufundsha nini?
Sifa zingine zinashusha P
P ndio nini?
Uko Arusha sehemugani nikuPM muda huu huu?
Don't deviate,we sema kamauko kisongo nijue au kama ni Sakina semaili ujue watu tuko rockycity lakini tunaangaza hadi Mrina Anex na Casablanka
Ukiamka wape hi pande za Kijenge