Picha ya Freeman Mbowe akiongea na Waandishi wa habari, inakupa ujumbe gani?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Pg-1c-300x200.jpg


Hiyo ni picha ya mh.Mbowe akiongea na Waandishi wa habari baada ya kutoka nje ya ukumbi wa Bunge yeye na wabunge wenzake wa upinzani.

Picha hii ukistadi vizuri utapata message fulani ikiwa ni matokeoa ya uamuzi wa shughuli za Bunge kutokuonyeshwa live.

Binafsi, picha inanipa message zifuatazo:

1.Kwa wingi hizo camera, ni wazi waandishi wa habari wamejikuta hawana kazi baada ya kuzuiwa kufanya coverage ya shughuli za Bunge na hilo tukio likawa limewapa angalau cha kuripoti kwa umma.

2.Ni wazi waandishi wa habari watakuwa wamechukizwa na uamuzi huu na hivyo wameamua ku-sympathize na wapinzani na ndio maana Mbowe amezongwa kwa kiasi hicho na waandishi wa habari na camera zao.

3.Picha hii inanipa ujumbe kwamba Mbowe na upinzani kwa ujumla unakubalika sana na hata waandishi wanatambua hilo.

4.Picha hii ni kiashiria tosha kuwa taarifa za wapinzani na shughuli za wapinzani ndani ya Bunge ndio zitakazopewa umuhimu mkubwa kuliko habari za serikali Bungeni kama utaratibu huu wa kutorusha live shughuli za vikao vya Bunge utaendelea.

5.Picha hii ni ujumbe tosha kuwa uamuzi wa kutorusha moja kwa moja kwa shughuli za vikao vya Bunge, utaipa faida UKAWA kisiasa na kuigharimu CCM na serikali yake.

6.Mwisho,ni wazi habari za upinzani Bungeni zinauza kuliko habari za serikali Bungeni.

Je,we mwanzangu unagundua nini kutokana na picha hii?

Picha hii ni kutoka katika gazeti la Mtanzania online la siku ya leo.
 
Pg-1c-300x200.jpg


Hiyo ni picha ya mh.Mbowe akiongea na Waandishi wa habari baada ya kutoka nje ya ukumbu wa Bunge yeye na wabunge wenzake wa upinzani.

Picha hii ukistadi vizuri utapata message fulani ikiwa ni matokeoa ya uamuzi wa shughuli za Bunge kutokuonyeshwa live.

Binafsi,picha inanipa message zifuatazo:

1.Kwa wingi hizo camera,ni wazi waandishi wa habari wamejikuta hawana kazi baada ya kuzuiwa kufanya coverage ya shughuli za Bunge na hilo tukio likawa limewapa angalau cha kuripoti kwa umma.

2.Ni wazi waandishi wa habari watakuwa wamechukizwa na uamuzi huu na hivyo wameamua ku-sympathize na wapinzani na ndio maana Mbowe amezongwa kwa kiasi hicho na waandishi wa habari na camera zao.

3.Picha hii inanipa ujumbe kwamba Mbowe na upinzani kwa ujumla unakubalika sana na hata waandishi wanatambua hilo.

4.Picha hii ni kiashiria tosha kuwa taarifa za wapinzani na shughuli za wapinzani ndani ya Bunge ndio zitakazopewa umuhimu mkubwa kuliko habari za serikali Bungeni kama utaratibu huu wa kutorusha live shughuli za vikao vya Bunge utaendelea.

5.Mwisho,picha hii ni ujumbe tosha kuwa uamuzi wa kutorusha moja kwa moja kwa shughuli za vikao vya Bunge, utaipa faida UkAWA kisiasa na kuigharimu CCM na serikali yake.

Je,we mwanzangu unagundua nini kutokana na picha hii?
Hongera kwa mtazamo chanya
 
Pg-1c-300x200.jpg


Hiyo ni picha ya mh.Mbowe akiongea na Waandishi wa habari baada ya kutoka nje ya ukumbu wa Bunge yeye na wabunge wenzake wa upinzani.

Picha hii ukistadi vizuri utapata message fulani ikiwa ni matokeoa ya uamuzi wa shughuli za Bunge kutokuonyeshwa live.

Binafsi,picha inanipa message zifuatazo:

1.Kwa wingi hizo camera,ni wazi waandishi wa habari wamejikuta hawana kazi baada ya kuzuiwa kufanya coverage ya shughuli za Bunge na hilo tukio likawa limewapa angalau cha kuripoti kwa umma.

2.Ni wazi waandishi wa habari watakuwa wamechukizwa na uamuzi huu na hivyo wameamua ku-sympathize na wapinzani na ndio maana Mbowe amezongwa kwa kiasi hicho na waandishi wa habari na camera zao.

3.Picha hii inanipa ujumbe kwamba Mbowe na upinzani kwa ujumla unakubalika sana na hata waandishi wanatambua hilo.

4.Picha hii ni kiashiria tosha kuwa taarifa za wapinzani na shughuli za wapinzani ndani ya Bunge ndio zitakazopewa umuhimu mkubwa kuliko habari za serikali Bungeni kama utaratibu huu wa kutorusha live shughuli za vikao vya Bunge utaendelea.

5.Mwisho,picha hii ni ujumbe tosha kuwa uamuzi wa kutorusha moja kwa moja kwa shughuli za vikao vya Bunge, utaipa faida UkAWA kisiasa na kuigharimu CCM na serikali yake.

Je,we mwanzangu unagundua nini kutokana na picha hii?
Naunga mkono hoja
 
Nimegundua kuwa kumbe Tanzania kuna vyombo kibao vya habari

Hao wengi sio wapiga picha wa vyombo vya habari ni wapiga picha binafsi ambao hufurika maeneo yenye shughuli za watu wengi na kupiga picha ili wasafishe na kuzitandika chini au kwenye meza kuwauzia wale wapenda kupiga picha.
 
Huo ni ujumbe kuwa CHADEMA sasa hivi inamilikiwa na Lowasa...Mbowe ameshauza chama
 
MBOWE is simply "THE BROTHER OF THE NATION". Kwa mtaji huu, CCM waandike maumivu.
 
Pg-1c-300x200.jpg


Hiyo ni picha ya mh.Mbowe akiongea na Waandishi wa habari baada ya kutoka nje ya ukumbu wa Bunge yeye na wabunge wenzake wa upinzani.

Picha hii ukistadi vizuri utapata message fulani ikiwa ni matokeoa ya uamuzi wa shughuli za Bunge kutokuonyeshwa live.

Binafsi,picha inanipa message zifuatazo:

1.Kwa wingi hizo camera,ni wazi waandishi wa habari wamejikuta hawana kazi baada ya kuzuiwa kufanya coverage ya shughuli za Bunge na hilo tukio likawa limewapa angalau cha kuripoti kwa umma.

2.Ni wazi waandishi wa habari watakuwa wamechukizwa na uamuzi huu na hivyo wameamua ku-sympathize na wapinzani na ndio maana Mbowe amezongwa kwa kiasi hicho na waandishi wa habari na camera zao.

3.Picha hii inanipa ujumbe kwamba Mbowe na upinzani kwa ujumla unakubalika sana na hata waandishi wanatambua hilo.

4.Picha hii ni kiashiria tosha kuwa taarifa za wapinzani na shughuli za wapinzani ndani ya Bunge ndio zitakazopewa umuhimu mkubwa kuliko habari za serikali Bungeni kama utaratibu huu wa kutorusha live shughuli za vikao vya Bunge utaendelea.

5.Mwisho,picha hii ni ujumbe tosha kuwa uamuzi wa kutorusha moja kwa moja kwa shughuli za vikao vya Bunge, utaipa faida UKAWA kisiasa na kuigharimu CCM na serikali yake.

Je,we mwanzangu unagundua nini kutokana na picha hii?

Picha hii ni kutoka katika gazeti la Mtanzania online la siku ya leo.
nmegundua hata wewe ulikuwepo katika hlo kun di la waandishi na umetaka tukuone tu
 
Kwa mara ya kwanza naona mtu amezingwa na waandishi wa habari kumbe wapo wengi we jamaa ni genius

Hivi tuchukulie mtu kakuburuza mahakamani uthibitishe kuwa Mbowe hapo kazungukwa na waandishi wa habari na sio wapiga picha wa kawaida wasio waandishi wa habari utaweza?
 
WATAKUWA WAMEPEWA BAHASHA NENE!!! HATA WEWE UKIWATAKA MARA MBILI YA HAO UTAWAPATA. ANDAA TU BAHASHA.

Queen Esther

Hiyo ni picha ya mh.Mbowe akiongea na Waandishi wa habari baada ya kutoka nje ya ukumbu wa Bunge yeye na wabunge wenzake wa upinzani.

Picha hii ukistadi vizuri utapata message fulani ikiwa ni matokeoa ya uamuzi wa shughuli za Bunge kutokuonyeshwa live.

Binafsi,picha inanipa message zifuatazo:

1.Kwa wingi hizo camera,ni wazi waandishi wa habari wamejikuta hawana kazi baada ya kuzuiwa kufanya coverage ya shughuli za Bunge na hilo tukio likawa limewapa angalau cha kuripoti kwa umma.

2.Ni wazi waandishi wa habari watakuwa wamechukizwa na uamuzi huu na hivyo wameamua ku-sympathize na wapinzani na ndio maana Mbowe amezongwa kwa kiasi hicho na waandishi wa habari na camera zao.

3.Picha hii inanipa ujumbe kwamba Mbowe na upinzani kwa ujumla unakubalika sana na hata waandishi wanatambua hilo.

4.Picha hii ni kiashiria tosha kuwa taarifa za wapinzani na shughuli za wapinzani ndani ya Bunge ndio zitakazopewa umuhimu mkubwa kuliko habari za serikali Bungeni kama utaratibu huu wa kutorusha live shughuli za vikao vya Bunge utaendelea.

5.Mwisho,picha hii ni ujumbe tosha kuwa uamuzi wa kutorusha moja kwa moja kwa shughuli za vikao vya Bunge, utaipa faida UKAWA kisiasa na kuigharimu CCM na serikali yake.

Je,we mwanzangu unagundua nini kutokana na picha hii?

Picha hii ni kutoka katika gazeti la Mtanzania online la siku ya leo.
 
Back
Top Bottom