Picha: Wezi wa Nyaya za umeme

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308
Kuna kanda moja ilikosa umeme kwa siku saba mfululizo wiki iliyopita. Nasikia sababu ilikuwa hawa waliokuwa wanataka kuiba vyaya za umeme zenye volt zaidi ya 13,000. Walikufa hapo hapo.

mail


mail


mail


mail


mail


mail


mail
 
picha haionekani mkuu. ila kama ni picha ya kutisha plz weka warning kwenye title, wengine tunaotaga vibaya

Naamini kwa hiyo avatar yako tuu, hautatishika na hizo picha b'se utakuwa umeona mengi. lol
 
kuna kanda moja ilikosa umeme kwa siku saba mfululizo wiki iliyopita. Nasikia sababu ilikuwa hawa waliokuwa wanataka kuiba vyaya za umeme zenye volt zaidi ya 13,000. Walikufa hapo hapo.

mail


mail


mail


mail


mail


mail


mail
sas hiyo picha iko wapi mugwana kwani nilijua tutaona watu wakivuruga utaratibu wa umeme sasa fanya mpango
 
Back
Top Bottom