<br />Kivipi mkuu?
sas hiyo picha iko wapi mugwana kwani nilijua tutaona watu wakivuruga utaratibu wa umeme sasa fanya mpangokuna kanda moja ilikosa umeme kwa siku saba mfululizo wiki iliyopita. Nasikia sababu ilikuwa hawa waliokuwa wanataka kuiba vyaya za umeme zenye volt zaidi ya 13,000. Walikufa hapo hapo.