NOTE:
NI ACP (Assistant Commissioner of Police - Kamishna Msaidizi wa Polisi) siyo SACP (Senior Assistant Commissioner of Police - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Polisi)... ACP Liberatus Lyimo Barlow.
Natanguliza shukrani.
kweli MUNGU NAOMBA UNISAMEHE,mdomo umetelezaAngel temea mate chini wewe...
hata picha huwezi kuangalia??
Nilikuwepo eneo la tukio.
1. walianza makamanda wa mkoa kutoa salamu za rambirambi, na walitoa kila kamanda na pesa kama sehemu ya kusaidia shughuli za kuhani. wengine milion, wengine laki kadhaa wengine milion 2.
2. Wakafuatia viongozi wa dini, nao na umoja wao wakatoa 300,000/
3. Wakafuatia CCM mkoa wa mwanza, isiyo na mbunge wa kuchaguliwa bali yupo wa kuteuliwa, zikatoka 1,000,000/-
4. Ikafuatia CCM mkoa wa geita, pamoja na uchanga wao, lakini wameshukuru kufanya kazi na kamanda wakati Geita ikiwa sehemu ya Mwanza, nao wakatoa 1,000,000/-
5. Wakakaribishwa CCM B a.k.a CUF, mwakilishi hakuibuka, alikaa kimya.
6. Wakakaribishwa CHADEMA, chama chenye wabunge wawili hapa mjini na wabunge wengine wako wilyani, alzungumza mambo mazuri, akawaasa wananchi kuendeleza ushirikiano na WATUMIE Dhana ya PEOPLES POWER kuwafichua waliohusika na mauaji ya Barlow, na waendeleze ushirikiano. Yeye tofauti na wengine wote waliotangulia, waliomalizia kwa kutoa RAMBIRAMBI, yeye alitaja jina lake tu. Watu walinung'unika, wakionesha wanataka kusikia CHADEMA wamechangia bei gani kwenye msiba huo.
7. Wakakaribishwa wajumbe wa kuzuia uhalifu mwanza, nao wakatoa 2,000,000/-
8. Wakafuatia chama cha wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro ambapo Balow alikuwa ni mwanachama mzuri nao wakatoa 2,000,000/-.
Ta Muganyizi Huoni kuwa CHADEMA hawakujiandaa?
NOTE:
NI ACP (Assistant Commissioner of Police - Kamishna Msaidizi wa Polisi) siyo SACP (Senior Assistant Commissioner of Police - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Polisi)... ACP Liberatus Lyimo Barlow.
Natanguliza shukrani.
wewe umetoa tsh ngap? Utu ni bora kuliko pesa.
Maundumula, mkubwa ni SACP.Yupi mkubwa hapo?
Kweli unategemea kuwa na jeshi la polisi lenye ufanisi kwa kuwa na askari wa aina hii? R.I.P Kamanda Barlow
Hata angekuwa SSP hayatuhusu, mbinguni hakuna cha OCS wala IGP
Uliiba mke wa mwenzio...Mungu akulaze panapostaili
Maundumula, mkubwa ni SACP.
huwa anaanza;
IGP
CP
DCP
SACP
ACP
SSP
SP
ASP
INSP
A/INSP
SM
S/SGT
SGT
CPL
PC
RC.
Tafuta thread moja ilianzishwa na mdau mmoja anajiita Thanda utapata uelewa zaidi. au kina SAMITI na Polisi wanaweza kukusaidia.
naona wengi wa wananchi wa kawaida wamefika kuangalia hiyo sherehe ikoje,sidhani kama wana masikitiko moyoni