CHADEMA hawakujipanga na msiba huu, wameaibisha kiaina.
Uliiba mke wa mwenzio...Mungu akulaze panapostaili
We vipi utajuaje kuwa walioko hapo ni CDM au CCM hujatulia malizia viroba vyako vya konyagi kisha usiwalipe ile mia 200 iliyoongezeka uje uone kazi yake
CHADEMA hawakujipanga na msiba huu, wameaibisha kiaina.
cdm wanahusikaje?
Hata angekuwa SSP hayatuhusu, mbinguni hakuna cha OCS wala IGPNOTE:
NI ACP (Assistant Commissioner of Police - Kamishna Msaidizi wa Polisi) siyo SACP (Senior Assistant Commissioner of Police - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Polisi)... ACP Liberatus Lyimo Barlow.
Natanguliza shukrani.
Nilikuwepo eneo la tukio.....
6. Wakakaribishwa CHADEMA, chama chenye wabunge wawili hapa mjini na wabunge wengine wako wilyani, alzungumza mambo mazuri, akawaasa wananchi kuendeleza ushirikiano na WATUMIE Dhana ya PEOPLES POWER kuwafichua waliohusika na mauaji ya Barlow, na waendeleze ushirikiano. Yeye tofauti na wengine wote waliotangulia, waliomalizia kwa kutoa RAMBIRAMBI, yeye alitaja jina lake tu. Watu walinung'unika, wakionesha wanataka kusikia CHADEMA wamechangia bei gani kwenye msiba huo......
hivi huyu kamanda hakuacha mke wala watoto?? au ndio wamepotezewa?
uliiba mke wa mwenzio...mungu akulaze panapostaili