Mhhhh kama usanii ndio huu..ole wake mwanangu nisikie anataka kuwa miss
Juma4 Malecela liambiwa hivyo sasa hivi yu ngangari @New Yorkrip ka-yo yo
Mchungaji Yo Yo kanikabidhi mikoba kuna video tape ya mautamu ya WEDA kama ileeeeee ya KIM na RAY hii sitoi bura nitaiuza kwa shilingi ya kimarekani
wewe hujui kama domo kubwa ndiyo lipo sop romantic....Dogo domo kubwa kaa punany la n'gombe. Na huyo Wema naye vilevile. Wakizaa mtoto atakuwa kaa Chupaki.
hahahahahahahahaha!Dogo domo kubwa kaa punany la n'gombe. Na huyo Wema naye vilevile. Wakizaa mtoto atakuwa kaa Chupaki.
Dogo domo kubwa kaa punany la n'gombe. Na huyo Wema naye vilevile. Wakizaa mtoto atakuwa kaa Chupaki.
Hivi huyu wema hana ndugu????
Nilisikiliza interview ya Wema,anajitahidi kujitetea kwa sentensi za kipumbavu.
"Dada Nuru aliniambia mdogoangu hadi kuolewa lazima uwe umetembea na wanaume si chini ya 25"-WEMA
nikashangaa,kumbe anataka kutimiza alichoambiwa?
Then anapenda publicity khs maisha yake kimapenzi. Mbona Jokate,Richa,Genevive,Regina Mosha,Nancy,Irene Kiwia hawatokei front page kwa mambo ya kipuuzi?
Anahitaji Nyakanga![/QUOTE
] hakya nani hapo kwenye red AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO eeh Mungu umsamehe hajui atendalo.
ajabu haya mapicha huko fb kuna wanaomsifia eti umependeza,, u rock ma ujinga tu looooh.
Wenzio ndo wanafurahia maisha hivyo.kuna watu hawajui kuna mungu jamani...unawapaje mkate wa kila siku familia yako kwa pesa ilotokana na kudhalilisha na kufedhehesha watoto wa wenzio,tukumbuke kuna kesho jamani!