PICHA: Watoto halaiki waandamana kudai POSHO ZAO (Mwenge)

MATAMASHA ya halaiki lazima yaendelee, tena yadumu milele. Tatizo si hayo matamasha, bali ni viongozi wahuni wasiotaka kuwalipa watu stahiki zao. Halaiki hata Marekani watoto wanashiriki. Yanajenga umoja, mshikamano na ukakamavu. Shida hapa ni dhuluma tu, na si maudhui ya kuwapo shughuli hiyo ya Halaiki.
 
Ni kizaa kilichotokea mkoani Shinyanga ambapo watoto walio cheza halaiki kuandaman hadi katika ofisi ya mkuu wa mkoa huo kudai malipo cha ajabu wamejibiwa kuwa hawakuhaidiw malipo na jezi zao na chakula ( Uji na bokokoko kambini) imewaghalimu milioni kati 100 na 200 huu si ufisadi jamani
 
My poor Tanzania...nani aliyekuroga..yaani viongozi wanatoa ahadi hewa hata kwa watoto?wanapanda mbegu ngoja watavuna...walichopanda...
 
Ni kizaa kilichotokea mkoani Shinyanga ambapo watoto walio cheza halaiki kuandaman hadi katika ofisi ya mkuu wa mkoa huo kudai malipo cha ajabu wamejibiwa kuwa hawakuhaidiw malipo na jezi zao na chakula ( Uji na bokokoko kambini) imewaghalimu milioni kati 100 na 200 huu si ufisadi jamani

Ndo faida za MWENGE
 
Wazazi wao ndio wanatakiwa washtakiwe. Waliona watoto wa kigoma walipoandamana baada ya kurushwa hela zao kwenye tukio la mwenge. Halafu wakaruhusu watoto wao nao waende huko. Walikuwa wanafikiria nini! Wajinga kabisa.
 
haya malalamiko ngoja ........................... nitayafanyia kazi

as soon as possible!!!!!
 
Jana iliripotiwa kuhusu watoto wadogo ambao hawajamaliza hata shule ya msingi kwamba wameandamana huko shinyanga wakidai haki yao, wanadai malipo yao baada ya watawala kuwatumia kwenye halaiki za mwenge, wanalalamika kupewa uji usio na sukari wala chumvi kwa kipindi cha maandalizi, wanalalamika pia kulishwa bokoboko 'ya kizembe'. wanalalamika kwamba waliahidiwa malipo lakini sasa wanashangaa watawala wanataka kuwadhulumu, wanahisi watawala waliwahadaa! mkuu wa mkoa wa shinyaga hakuchelewa, haraka sana akajitokeza kukanusha kwamba si kweli kwamba waliahidi pesa kwa watoto hao, na akaendelea mbele kwamba anahisi wazazi wanawachochea watoto hao kuandamana

hebu tujikumbushe.
Madakatari waligoma, watawala wakadai ule mgomo ulikua na mashinikizo ya kisiasa, kwamba wasomi hawa wanatumia na chama flani cha siasa, katika kutafuta nini hasa kipo nyuma ya mgomo ilibidi ulimboka atekwe na ateswe.

Wanafunzi wa chuo kikuu waligoma, lugha ya watawala haikubadilia, walisema hawa vijana wanatumiwa kisiasa, kwamba kuna chama kiko nyuma ya mgomo huu, hawakusita walitaja CHADEMA kuandaa hili sakata

Walimu nao wamekua na mgogoro na watawala kwa madai ya kuboreshewa maslahi, walimu hawaelewi ni vipi waambiwe hakuna pesa wakati wanaona matumizi ya hovyo kabisa ya kodi zao, walipojitokeza kudai maslahi yao, tukaimbiwa chorus ilele, kwamba kuna chama kilisema nchi haitatawalika kwa hiyo hicho chama ndio kipo nyuma ya mgogoro wa walimu na watawala.

Sasa watoto wanagoma, wanadai waliahidiwa malipo na sasa wanapigwa chenga, lakini watanzania si wote tunajua ahadi tulizopewa wakati watawala hawa wanataka kwenda magogoni, maisha bora kwa kila mtanzania yametimia? ile ahadi ya kupambana na rushwa iliishia wapi?

Watawala wamelala usingizi mzito!
 
311104_443047525737265_468291117_n.jpg



Watoto wa haraiki waliokuwepo kwenye maadhizisho ya kuzima mwenge mkoani shinyanga. Wameandamana mpaka ofisi ya mkuu wa mkoa shinyanga kudai pesa yao ambayo hawajalipwa. Wanaimba kuwa wanataka haki yao.

wataambiwa wamekosa uzalendo! chezea magamba wewe!
 
...ajira kwa watoto...
...ooh...wapewe haki yao...

Tanzania Child Development Policy 1996:

The development of a child is related to his/her physical, intellectual, moral and spiritual growth. In order for a child to grow well she/he needs to be cared for, given guidance and brought up in accordance with the norms of the community.

Objectives are:

  • To educate, direct and provide guidance to the community on the basic rights of child and child survival, protection and development.
  • To enable the community to understand the source of problems facing children and provide directions on the up bringing of children in difficult circumstances.
  • To clarify the role and responsibilities of children parents, guardians, community, institutions and the government in planning, coordinating and implementing plans for children so that children may become good citizens.
  • To ensure that there are laws which can be used to deal with child abuse.
 

Attachments

  • Child Development Policy.pdf
    1.6 MB · Views: 19
Kama walikuwa wanaropoka ahadi zisizotekelezeka kuwa watawapa kifuta jasho,kazi ndio hiyo sasa!wameshawaamsha wenzao mikoa mingine kuanzia sasa halaiki zote zitagomewa,hakuna cha uzalendo wala nini,halaiki inapoteza muda sana sana ,zaidi ya miezi 3 watoto wanakatiza masomo kwenda kufanya mazoezi!nilishiriki kama halaiki 3 mikoa tofauti yote kuwasha na kuzima mwenge miaka ile wakati azimio la arusha lilipokuwa hai,uzalendo ulikuwepo!
 
Back
Top Bottom