tafuta sasa uweke hapa tuone siyi blaablaa tuu!hata mimi nikitafuta wasambaa watano nitapata tu warembo kama hao
Wawili hapo juu nawafahamu, wapo Arusha!
Duuh,,,, mmi kaka yaoo nipo kdo.nenda kondoa utawakuta kibao...kazi kwako tu kujitafunia. Smile na Passion Lady njooni uku mnatafutwa au mshatimkia kijijini? Pia Ye Soya jiandae maana na wewe pia watafutwa huku
kila kabila wapo wenye sura za kupendeza na mbaya pia,hata mimi nikichagua picha nzurinzuri za wasuKUMA wenzangu mbona utapagawa!
Huyu shehe wenu bila shaka ana matatizo ya kisaikolojia...is bure, nehema za allah!!
lakini tuache utani hawa warangi ni warembo mno sema tu...ni hataree kwa yale mambo yetu...akikataa nenda katambikie na uoshwe maji ya bahari.
picha ya mke wangu nani kaileta huku
Mchumba wa dr slaa ni mrangi mwenye asiri ya bukoba