Snipper
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,336
- 2,157
Nadhani ni asilimia kubwa wako ivo ndio maana wanajumuishwa pamojaJamani kwa jamii yote ya wa iraq ni wahuni au ni baadhi baadhi tu?
Nadhani ni asilimia kubwa wako ivo ndio maana wanajumuishwa pamojaJamani kwa jamii yote ya wa iraq ni wahuni au ni baadhi baadhi tu?
Mkuu yule Sheikh Hilal Kipoozeo ni noma sana hasa upande wa mizigo mizito mizito mmh sipendi wale wembamba
Hili sio tatizo, ni roho nzuri tuu hizi!.
Ama kweli binadamu hana wema, mkinyimwa, mnalalamika, mkihurumiwa mnakashifu!.
Pasco.
Hili sio tatizo, ni roho nzuri tuu hizi!.
Ama kweli binadamu hana wema, mkinyimwa, mnalalamika, mkihurumiwa mnakashifu!.
Pasco.
Pasco,Warangi, Wambulu, Wanyaturu, ni jamii za Wairaque wa Tanzania, wanawake wao ni wazuri kwa sura, weupe, pua za kisomali na nywele za singa!, warefu, wembamba, hana leggy line, kwa uzuri wa kupendeza machoni, ni wazuri sana, pia wana roho nzuri, ila ...
Pasco
siyo wote bana, labda wale wa zamani ndio wameng'olewa king'amuzi. Hawa wa kisasa wako poa, wananasa mawimbi vizuri tu!tatizo wanakeketwa!!
ndio wana nini?Ni Wanyaturu.
nenda kondoa utawakuta kibao...kazi kwako tu kujitafunia. Smile na Passion Lady njooni uku mnatafutwa au mshatimkia kijijini? Pia Ye Soya jiandae maana na wewe pia watafutwa huku
Sema nasikia kwenye tabia ni div five...