Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Wakuu,
Wakati taifa linaomboleza kwa siku tatu kuanzia JANA, Jana hiyo hiyo CCM, Dsm, wilaya ya Ilala, mahali alipo mkiti wa ccm Taifa na ikulu ya magogoni, wanasherekea ktk ukumbi wa Vasco Dagama Pugu, eti wanapongezana baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa ngazi ya kata.
Sijawahi kuona chama Cha siasa, tena ngazi ya wilaya Ilala ilipo Ikulu ya Rais wakifanya kitu cha ajabu namna hiyo.
Mbaya zaidi, wanasherekea kwa furaha na tabasamu kabisa wakati wenzao na Taifa zima kwa ujumla tunaomboleza huku Bunge likiwa limeahirishwa.
Habari hii haina ubishi maana baada ya kukereka sana niliwatuma vijana wa idara ya Inteligence ya Chadema Jimbo la Ukonga na wakafanikiwa kuingia hadi ukumbini, wakapiga picha hizi hapa JF. Kazi zote zimefanyika within 45 minits ago.
Kwa kweli nimesikitika sana, au tuseme CCM huwa inafurahia watanzania wanapokufa? Wanawezaje kufanya jambo la ajabu namna hii?.
Wakati huo huo, Nape anawadanganya watz ktk face book kuwa mkutano wa ccm Kigoma umeahirishwa. Je, CCM ilala haiko chini ya uongozi wa Nape?
Je, CCM Ilala, wana haraka gani? Mbona sisi Chadema Ukonga tumeahirisha mkutano wetu hapa Ukonga hadi Jumapili na tumekubali hasara ya fedha?
Huu siyo ushabiki wa kisiasa, hii ni aibu ya Kitaifa bila kujali itikadi ya vyama.
Wakati taifa linaomboleza kwa siku tatu kuanzia JANA, Jana hiyo hiyo CCM, Dsm, wilaya ya Ilala, mahali alipo mkiti wa ccm Taifa na ikulu ya magogoni, wanasherekea ktk ukumbi wa Vasco Dagama Pugu, eti wanapongezana baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa ngazi ya kata.
Sijawahi kuona chama Cha siasa, tena ngazi ya wilaya Ilala ilipo Ikulu ya Rais wakifanya kitu cha ajabu namna hiyo.
Mbaya zaidi, wanasherekea kwa furaha na tabasamu kabisa wakati wenzao na Taifa zima kwa ujumla tunaomboleza huku Bunge likiwa limeahirishwa.
Habari hii haina ubishi maana baada ya kukereka sana niliwatuma vijana wa idara ya Inteligence ya Chadema Jimbo la Ukonga na wakafanikiwa kuingia hadi ukumbini, wakapiga picha hizi hapa JF. Kazi zote zimefanyika within 45 minits ago.
Kwa kweli nimesikitika sana, au tuseme CCM huwa inafurahia watanzania wanapokufa? Wanawezaje kufanya jambo la ajabu namna hii?.
Wakati huo huo, Nape anawadanganya watz ktk face book kuwa mkutano wa ccm Kigoma umeahirishwa. Je, CCM ilala haiko chini ya uongozi wa Nape?
Je, CCM Ilala, wana haraka gani? Mbona sisi Chadema Ukonga tumeahirisha mkutano wetu hapa Ukonga hadi Jumapili na tumekubali hasara ya fedha?
Huu siyo ushabiki wa kisiasa, hii ni aibu ya Kitaifa bila kujali itikadi ya vyama.