Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,955
- 93,934
kwa Watanzania tulio wengi shida ni sehemu ya maisha ambayo siku zote huwa tunasema, "tunamuachia Mungu".
Sio kwamba viongozi wa serikali hawalijui hili, ni ubinafsi na laana za huko wanakoroga ili waingie madarakani ndio zinawafuatilia wao na nchi yetu.
Sio kwamba viongozi wa serikali hawalijui hili, ni ubinafsi na laana za huko wanakoroga ili waingie madarakani ndio zinawafuatilia wao na nchi yetu.