rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakina mama wakisubiri kujifungua,jamani hii ndio serikali ya magamba ccm inajivunia miaka 50 ya uhuru???hizo gharama za kumteka na kumwumiza vibaya docta ulimboka zingetosha kununua vitanda 5,haya safari ya huyo msafiri vasco dagama na msafara wake zisingetosha kuwanunulia hawa mama zetu vitanda??hizo hilo zilizokutwa uswis za hao majambazi wa ccm hazitaweza kununua vitanda vya wakina mama nchi nzima????