KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Nao wameenda kunywa chai ya ikulu kama chadema sio!hii chai itaponza wengi mwee...sasa vyama vyetu vya upinzani vinagombania kwenda kutemblea ikulu sio kuiondoa serikali madarakani tena!Wameiga ya Chadema?Hawa nao duni kweli kweli!