Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,885
- 6,885
Halafu mnasema Polisi hawalipwi vizuri! Hembu mcheki huyo Inspekta hapo juu alivyojishibia?
hivi huyu mr 2 anavaaje sandozi wabunge? Daaah wabunge wangu bwana wananichekesha kweli wakati mwingine...ntafanyaje sasa na mahaba yamenielemea na chadema
ulitaka avae skuna?
Halafu mnasema Polisi hawalipwi vizuri! Hembu mcheki huyo Inspekta hapo juu alivyojishibia?
Le Mutuzi ni Freemason mbona V yake haijakaa vizuri au ndiyo uwoga Nape asimuone?
ulitaka avae skuna?
hadi sasa sijaona wanachotikisa bunge
agreed, ila ndio wajibu wa wabunge huo.......... hao akina vijisenti sio wabunge mkuu, ni masultani huko kwao, umesahahu alipokewa na zulia jekundu alipoachia ngazi kwa ufisadi??Kijana wa kushoto baada ya kutinga bungeni tu, siku ya tatu kaanza kuishambulia serikali, Mwulize Vijisenti anachofanya bungeni au Lowasa. Wanasubiri kukinga posho tu.
amekubali matokeo !Halafu mnasema Polisi hawalipwi vizuri! Hembu mcheki huyo Inspekta hapo juu alivyojishibia?
hivi huyu Mr 2 anavaaje sandozi wabunge? daaah wabunge wangu bwana wananichekesha kweli wakati mwingine...ntafanyaje sasa na mahaba yamenielemea na chadema
agreed, ila ndio wajibu wa wabunge huo.......... hao akina vijisenti sio wabunge mkuu, ni masultani huko kwao, umesahahu alipokewa na zulia jekundu alipoachia ngazi kwa ufisadi??