Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
Mambo yalikuwa hivi
Mambo yalikuwa hivi
Cuf kivuliNi mbunge wangu lakini muda wake umeisha tulimpa ubunge lakini jimboni hatumuoni, wakazi wa Msasani Madanzi road hawajawahi kumuona, wavuvi wa Kunduchi walimpa kura mpaka leo hawajamuona...
Wakati watu wanadhulumiwa huko alikuwa wapi?
Wewe huwezi kuwa mmoja wao hata kidogo(red)Ni mbunge wangu lakini muda wake umeisha tulimpa ubunge lakini jimboni hatumuoni, wakazi wa Msasani Madanzi road hawajawahi kumuona, wavuvi wa Kunduchi walimpa kura mpaka leo hawajamuona...
Hawa walidhulumiwa na nani, Magamba na vibaraka wao au?Wakati watu wanadhulumiwa huko alikuwa wapi?
mkuu hujui unaloliongea Halima hapa BOKO ndani ya wiki moja kaja mara mbili kuzungumza na wananchi na maji yana panda Chasimba mtalia sana anawafanya mbaya magamba nyie.Naona CDM mmeishiwa thread za kupost,hii si habari ya kuleta JF ufunguzi wa matawi ?Halima Mdee anachemka tulitegemea kama mwanasiasa kijana kuleta maendeleo kitu ambacho ameshindwa kwa 100%.Ajue kwamba ndoa yake na wana Kawe itaisha rasmi 2015.
Wakati watu wanadhulumiwa huko alikuwa wapi?