Dr. Stephen Ulimboka alivyopokelewa Dar akitokea Afrika Kusini

Dah! Jamaa sura yake imerudi kunyooka...
Mungu amzidishie nguvu na aendelee kumlinda

Ntamuomba afungue mdomo ili tuone meno yamekaaje. Ila kuna watu hawana akili kabisa. Wanatesa wenzao kama sio binadamu vile
 
Meno si tatizo anaweza kuvaa za bandia, muhimu amerudi salama baada ya matibabu.

teh teh teh...I know...but sometimes there are many ways to send out a message to the concerned people. In this issue, they have failed!
 
MUNGU ANANGUVU KULIKO SERIKlI NA POLISI NA USALAMA WA TAIFA KWA UMOJA WAO NA UDHALIMU WAO
 
How should it have been, hebu nitafunie kidogo

The message is simple and clear...we have limitations to what we can do. When it comes to life and death, that is out of our hands. We have seen it more than twice now. Kuna yule Dr ambaye alikuwa anapukutika nywele, mbona bado yupo? Huyu Ulimboka mbona amerudi salama? So, elimination of other people is not the solution...the solution lies on addressing the core of all the problems we have.
 
wasiwasi kama sio hofu ndo zinazidi kuwajaa huko waliko..hivi anaweza akaitisha press akatupa walau mawili matatu ya kilichojiri? au pia itakuwa ni kuingilia mhimili ule mwingine.
wengine na kujisaidia nguoni washakamilisha tayari.
 
MUNGU ANANGUVU KULIKO SERIKlI NA POLISI NA USALAMA WA TAIFA KWA UMOJA WAO NA UDHALIMU WAO
halafu kwa nini awamu ya nne dli zao nyingi zinabumbuluka.walianzia kubenea,mwandosya,mwakembe,na sasa ulimboka.baraza la mawaziri kila siku wanalivunja kama vina laana vile.
 
uli.JPG


uli_b1.jpg

...namuona kijana wangu pia alikuwepo,wa pili kushoto kwa Dr.ULIMBOKA,namba za ILBORU 2003/2005,inapendeza kujua mapambano yanaendelea...
 
Kwa hili la Ulimboka, ni kwamba usalama wa Taifa haukujipanga au Mungu aliingilia kati.
 
Kweli Mungu ni Mungu aacha aitwe Mungu. Tumwache Dr. SU afanye kazi. Na kwa serikali mbona mgomo uliendelea hata baada ya kupigwa kwa Dr. Uli? Mbona hadi leo morale za kufanya kazi kwa Drs Muhimbili haupo? Keep in mind madaktari na waalimu ni wa kuheshimu sana nchi yoyote ile na ndiyo maana nchi hizo zinawalipa vizuri, at least vizuri hata kama si vizuri sana!!! Doctors wanafanya kazi ambazo ni risk na za kuogopesha kuliko vikao vya bunge na kazi nyingine za madaraka!!! Hivi ni nani anaweza kuhimili hata kupokea mgonjwa wa ajali anavuja damu, miguu imesagika and the like na bado anahakikishiwa kupona? Hivi kuona wagonjwa wote critical unafikiri ni mchezo. Tusipime ugonjwa kama homa na kichwa kuuma, ni zaidi ya hapo. Wengi wetu hatuna gati ya kuwaona wagonjwa waliozidiwa sembuse wenye ajali na damu zinavuja? Hivi katika viongozi wetu hakuna aliyewahi kuwa na ndugu mgonjwa critical au amepata ajali ambayo unafikiri hatapona na anapona? Give credit to medical profession? Wasikilizeni na nina imani ni wasomi na mtafikia muafaka. Ubabe na nguvu na mateso siyo solution, be sobber, solve problems and not making them worse!!!! Hata nyumbani kwetu mama akija juu, baba naye juu ndoa itavunjika!!! watoto nao wakija juu basi amani itavunjika. I believe by this time the Government must procure a conflict negotiator outside the country as ours have failed!!! Wetu wanatoa vitisho na maneno ya kukatisha tamaa!!! They are fruitless!!!
 
Back
Top Bottom