Kuna kitu inanifikirisha sana, ila vipaji hivi hatuviendelezi. Picha inaweza ikaonekana mara kadhaa lakini nini tunajifunza? Nilipokuwa mdogo nilikuwa na mazoea ya kutengeneza magari ya miti na kuyaendesha huku nimedandia, lakini tuliishia kutukanwa na pengine kusimangwa na wazazi bila kujua akili tuliyokuwa nayo ingeendelezwa tungeibua vipaji vya ajabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.