Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Unaambiwa waendesha bodaboda hukusanya michango kuwapatia traffic wasiwabughudhi! Inasikitisha kweli.Ndio maana boda boda na bajaj wanatenda makosa kama hawana akili nzuri bila woga wowote! SHAME!